Nadhani wewe ndiye unayetakiwa kuficha ujinga,maana umeacha hisia zikuongoze,utawezaje kufikiri?Ficha ujinga, angalia penalty ya zidane vs Italy fainali kombe la dunia
Umethibitisha vipi kuwa uwanja ni perfectly flat? Hufahamu kuwa chini pana nyasi bandia ambazo ukikanyaga zinabonyea na kufanya usiwe sawa kila sehemu?Ukiwa na D mbili tu za form four utajua kuwa lile sio goli kwani sote tumeona uwanja uko flat hakuna mabonde wala nundu nundu.
Katika hali ya kawaida mpira ungevuka goal line,ungedundia ndani ya nyavu.
Ukiitafu fizikia ya mpira kuvuka msitari kisha udundie nje unaikosa labda lingekuwa goli la maajabu sana.
Hata hivyo sishangai kwani wanaolalamika wengi aidha wanaongozwa na hisia tu ama walimbetia yanga, ama walitamani wamsute Mo awaachie timu wakaifilisi.
Bado kuna VAR wamethibitisha sio goli.
Yanga tumewazoea maana kwa hapa kwetu hata wachezaji wao wakiumwa mafua tu wanamlaumu Karia ndiye analeta virus
Hata ukiwa na A+ mbili za Physics form 6 bado hujaiva kuweza kuelewa dynamics of rotating bodies, kwa hiyo utaishia conclusion shallow kama hii.Ukiwa na D mbili tu za form four utajua kuwa lile sio goli kwani sote tumeona uwanja uko flat hakuna mabonde wala nundu nundu.
Katika hali ya kawaida mpira ungevuka goal line,ungedundia ndani ya nyavu.
Ukiitafu fizikia ya mpira kuvuka msitari kisha udundie nje unaikosa labda lingekuwa goli la maajabu sana.
Hata hivyo sishangai kwani wanaolalamika wengi aidha wanaongozwa na hisia tu ama walimbetia yanga, ama walitamani wamsute Mo awaachie timu wakaifilisi.
Bado kuna VAR wamethibitisha sio goli.
Yanga tumewazoea maana kwa hapa kwetu hata wachezaji wao wakiumwa mafua tu wanamlaumu Karia ndiye analeta virus
Ukiambiwa ufiche ujinga jitahidi kweli ufiche ujinga. Hii si mara ya Kwanza tukio kama Hilo kutokea na likaonekana ni goli. Magoli ya Frank Lampard na Finidi George Kwa nyakati tofauti yamewahi kuthibitisha Hilo. Nenda Google utayalkuta. Lampard WC 2010 na Finidi kwenye penàlt shoot out dhidi ya Cameroon.Nadhani wewe ndiye unayetakiwa kuficha ujinga,maana umeacha hisia zikuongoze,utawezaje kufikiri?
Teknolojia ya VAR ilikuwa bado haijaanza kutumika.Ukiambiwa ufiche ujinga jitahidi kweli ufiche ujinga. Hii si mara ya Kwanza tukio kama Hilo kutokea na likaonekana ni goli. Magoli ya Frank Lampard na Finidi George Kwa nyakati tofauti yamewahi kuthibitisha Hilo. Nenda Google utayalkuta. Lampard WC 2010 na Finidi kwenye penàlt shoot out dhidi ya Cameroon.
Ile Penalty ya David Trezeguet kombe la dunia.Ficha ujinga, angalia penalty ya Zidane vs Italy fainali kombe la dunia
Ukiweka unazi pembeni unajua wazi kua hio miaka ya giza ambayo technology ilikua chini ufisadi ilikua mwingi mpaka leo tunalia na Manchester united kubebwa na marefa miaka iyo mtu ukileta ubishani ukatolea mifano ya 2020 kurudi nyuma nakuona hujui mpiraUkiambiwa ufiche ujinga jitahidi kweli ufiche ujinga. Hii si mara ya Kwanza tukio kama Hilo kutokea na likaonekana ni goli. Magoli ya Frank Lampard na Finidi George Kwa nyakati tofauti yamewahi kuthibitisha Hilo. Nenda Google utayalkuta. Lampard WC 2010 na Finidi kwenye penàlt shoot out dhidi ya Cameroon.
Pia aangalie penati ya Pokou wa Asec mechi ya jana.Ficha ujinga, angalia penalty ya Zidane vs Italy fainali kombe la dunia
Simba kapigwa goal hiyo siku ,mpira ulidunda ndani na ukatoka njeUkiwa na D mbili tu za form four utajua kuwa lile sio goli kwani sote tumeona uwanja uko flat hakuna mabonde wala nundu nundu.
Katika hali ya kawaida mpira ungevuka goal line,ungedundia ndani ya nyavu.
Ukiitafu fizikia ya mpira kuvuka msitari kisha udundie nje unaikosa labda lingekuwa goli la maajabu sana.
Hata hivyo sishangai kwani wanaolalamika wengi aidha wanaongozwa na hisia tu ama walimbetia yanga, ama walitamani wamsute Mo awaachie timu wakaifilisi.
Bado kuna VAR wamethibitisha sio goli.
Yanga tumewazoea maana kwa hapa kwetu hata wachezaji wao wakiumwa mafua tu wanamlaumu Karia ndiye analeta virus
Angalia marudia ya penati za jana kati ya asec mimosas na es tunis penati ya nne upande wa mpigaji wa asec mimosas halafu uje na iyo fizikia yakoUkiwa na D mbili tu za form four utajua kuwa lile sio goli kwani sote tumeona uwanja uko flat hakuna mabonde wala nundu nundu.
Katika hali ya kawaida mpira ungevuka goal line,ungedundia ndani ya nyavu.
Ukiitafu fizikia ya mpira kuvuka msitari kisha udundie nje unaikosa labda lingekuwa goli la maajabu sana.
Hata hivyo sishangai kwani wanaolalamika wengi aidha wanaongozwa na hisia tu ama walimbetia yanga, ama walitamani wamsute Mo awaachie timu wakaifilisi.
Bado kuna VAR wamethibitisha sio goli.
Yanga tumewazoea maana kwa hapa kwetu hata wachezaji wao wakiumwa mafua tu wanamlaumu Karia ndiye analeta virus
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Unahoja uzingatiwe. Umenikumbusha mambo ya engo thita.