Ukiwa na D mbili tu za form four utajua kuwa lile sio goli kwani sote tumeona uwanja uko flat hakuna mabonde wala nundu nundu.
Katika hali ya kawaida mpira ungevuka goal line,ungedundia ndani ya nyavu.
Ukiitafu fizikia ya mpira kuvuka msitari kisha udundie nje unaikosa labda lingekuwa goli la maajabu sana.
Hata hivyo sishangai kwani wanaolalamika wengi aidha wanaongozwa na hisia tu ama walimbetia yanga, ama walitamani wamsute Mo awaachie timu wakaifilisi.
Bado kuna VAR wamethibitisha sio goli.
Yanga tumewazoea maana kwa hapa kwetu hata wachezaji wao wakiumwa mafua tu wanamlaumu Karia ndiye analeta virus
Katika hali ya kawaida mpira ungevuka goal line,ungedundia ndani ya nyavu.
Ukiitafu fizikia ya mpira kuvuka msitari kisha udundie nje unaikosa labda lingekuwa goli la maajabu sana.
Hata hivyo sishangai kwani wanaolalamika wengi aidha wanaongozwa na hisia tu ama walimbetia yanga, ama walitamani wamsute Mo awaachie timu wakaifilisi.
Bado kuna VAR wamethibitisha sio goli.
Yanga tumewazoea maana kwa hapa kwetu hata wachezaji wao wakiumwa mafua tu wanamlaumu Karia ndiye analeta virus