Kwa akili za Kiafrika Demokrasia bado sana. Hayati Magufuli alikuwa sahihi; kujituma ndilo suluhisho

Kwa akili za Kiafrika Demokrasia bado sana. Hayati Magufuli alikuwa sahihi; kujituma ndilo suluhisho

Acheni porojo zenu, Nchi za Africa zimekuwa chini ya tawala za madikteta na udikteta kwa zaidi ya nusu karne sasa.
Mifumo yetu hata ukianzia kwenye familia zetu, ni zinatawaliwa na kuongozwa kiudikiteta tupu!

Halafu eti tunataka nchi isiongozwe kidikiteta?

Kelele zote hizi za wengi kutaka kuongozwa kimayai ni njia za wao kutaka kuwa mafisadi na wezi!

Mafisadi na wezi haipasi demokrasia, huku ni kujidanganya tu, nchi hizi za sisi weusi, hazitaona maendeleo kamwe!

Jitu limeiba bilioni of mone mnataka lifikishwe mahakama zinazosimamiwa na watu walewale wenye tamaa?
 
Tangu wamepewa mamlaka ya mikutano umeona nini cha wananchi kujivunia.

waafrika tunamezeshwa mambo ya ajabu sana na wazungu nasi tunayachukua mazima mazima
Democracy was just a little chunt system of exploitation. Maisha ya Mwafrika yameharibiwa na mzungu kwa kiasi kikubwa sana.

Waafrica ndio watu WA Kwanza kuishi maisha Bora kijamii,kisiasa kiuchumi, pitia taifa la kwanza kemet iliyo Misri kale ni watu weusi sio hao waarabu walioletwa makusudi kuziba history ya ma pyramids na teknolojia kale jinsi waafrica tukivyojenga that why masanam ya mafarao na wengine wamevunja pua kuondoa kuona utofauti WA pua za weupe na waafrica.

Kuna mwana history mzungu mmja alisema sisi ndio tumeiba tamaduni za Africa nakuwalisha zisizo zao. Shuka kush ambayo ni Ethiopia na Sudan Kuna teknolojia nyingi za kale twende Mali mji uliotajiri miaka hiyo Timbuktu ulio WA kisasa zaidi ya miaka 2000 iliyopita kabla hawajaja kuvutuga akina mansa Musa tajiri hakuna aliemfikia mpaka Leo mwafrica why wanaficha Spain, Portugal zilitawaliwa na waafrica.

Ila hofu hakuna Sasa wanaofanya meditation wanasema before nibiru planet kuja Africa itaamka kiuchumi kijeshi kiteknolojia. Walio okoka na hii imehuniriwa na watumishi wengi kuwa nyakati au majira mapya Africa itainuka Kwa nguvu mtaona in 10-15 years tawala ovyu viongozi wasiofaa watakavyo angushwa na wengine hata kutangulia [emoji3545].

Majira mapya Africa yanakuja na hii itapelekea Africa kupigwa vita sio chanjo wataibua magonjwa mengi ila hayatafanikiwa mgomo utakuwepo tu. Kuna UFO zitakuwa zinazunguka wazi angani ndio utaanza kasheshe apo
Notes this

NAKUULIZA WW marekani Kuna DEMOKRASIA mbona Kuna RAISI wa 48 Hadi Sasa lakini hatujawahi sikia Kuna RAISI mwanamke DEMOKRASIA NI UHUNI wa MZUNGU [emoji26]

Nikusaidie bro 2028 ivank anaweza kuwa mwanamke WA kwanza USA. Tunajua Hillary Clinton ndio alishinda urais ila Trump Kwa msaada WA Russia cyber team ikamuongezea kura. Bro ikogo ivi dark deep state ndio inaiongiza USA Kwa mgongo WA deep state Yao utaona izo top strong family zinazomiliki 60 ya rasimalindunian.

Je, wajua Obama ni kituku cha Rothschild family kupitia hitler.baadhi ya maafisa USA wanasema marais huandaliwa mapema either wakiwa vijana au utoto na hupigiwa debe na media zao. Hillary Clinton anajua sababu alitumika kama kipimo japo marekni Kwa oda za illuminati ni ngumi mwanamke kupewa urais ila hili la 2028 ni mjadala mrefu.

Marekani wanajifanyaga kusaidia magonjwa tu, huwezi kusikia hata cku moja Marekani wanajenga lami kwa msaada au wanajenga kiwanda cha simu Dodoma never ila machanjo na upuuzi mwingine ndo kimbelembele.

Unaambiwa Trump alishinda tu Kwa sababu hiyo yaani walikuwa tayari wamchangue hata Lil Wayne lakin Sio mwanamke, japo Hilary alikuwa qualified kuliko wengi. Subiri kama ikitokea Biden akashindwa kuendelea, kama uchaguzi ukifanyike wakamsimamisha yule mama Tayari Democrats wanakosa.

Lakini zaidi wanatawaliwa na chama kile kile miaka nenda rudi. Wachambuzi watakwambia kuwa Republican na Democrats ni chama kile kile kinachofanyika ni maigizo na sense kubwa ni kuwa vyote vinategemea pesa kutoka makampuni yale yale.

Kwa hiyo makampuni huwa yaanamua yaweke pesa wapi kwa muda fulani. Demokrasia ni swala fikirishi tukiweza kuwa na namna yetu inayotufaa kwa mahitaji yetu kama waafrika ama Watanzania bila kucopy huko tutapiga hatua.

USSR
Hiyo miaka 6 ya udikteta wake ni kipi cha maana alichokifanya?!!!zaidi ya kuitumbukiza nchi kwenye hali mbaya tu?!!Eti tuwe na namna yetu ya kujiongoza,kwa kizazi hiki cha viongozi waliojaa tamaa?akiwa rais ndio anajiona ana akili kuliko watu wote?Mi Afrika tuna laana,
 
Mifumo yetu hata ukianzia kwenye familia zetu, ni zinatawaliwa na kuongozwa kiudikiteta tupu!

Halafu eti tunataka nchi isiongozwe kidikiteta?

Kelele zote hizi za wengi kutaka kuongozwa kimayai ni njia za wao kutaka kuwa mafisadi na wezi!

Mafisadi na wezi haipasi demokrasia, huku ni kujidanganya tu, nchi hizi za sisi weusi, hazitaona maendeleo kamwe!

Jitu limeiba bilioni of mone mnataka lifikishwe mahakama zinazosimamiwa na watu walewale wenye tamaa?
Acha kupotosha watu mi nchi kibao Afrika karibia toka zipate uhuru zinaendeshwa ki dikteta mbona ndiko kwenye umaskini wa kutupwa?!!mfano huko West Africa!!tatizo sio mfumo bali ni watu mbona ulaya kiongozi akiiba pesa anapata adhabu inayostahili?!!sasa huku anayeiba pesa ndio alikusaidia kuwa kiongozi hapo kuna nini?!!Huyo jiwe aliyeanza udikteta uchwara kwa miaka 6 kuna nini cha maana alikifanya zaidi ya kuonea watu hasa ambao alikuwa na chuki nao?!!
 
Back
Top Bottom