Nadhani amekusoma na kukuelewa. Kwa maneno mafupi ni; uwezekano wa kupata mimba mwanamke anaponyonyesha kila wakati ni mdogo mno. Pili, pateni ushauri wa daktari wa kina mama (gyna)Wala haina tatizo,kama ananyonyesha possibility ya kupata mimba ni ndogo ila ni vizuri akaenda kwa daktari haraka kupata njia muafaka ya kuzuia mimba.Hilo wazo la kwenda mbali ...acha kabisa.
..
Nadhani amekusoma na kukuelewa. Kwa maneno mafupi ni; uwezekano wa kupata mimba mwanamke anaponyonyesha kila wakati ni mdogo mno. Pili, pateni ushauri wa daktari wa kina mama (gyna)
umewahi sana kusema za ukweli ila kama mwenydwe haumii haya. Kuhusu njia salama ya uzazi wa mpango kuna uzi aliuleta Afrodenzi hapa una kila unachotaka kujua ufuatilie. Umegusia kuhusu kusafiri,kwa iyo hutaki kuona katoto kako kakismile kwa mara ya kwanza?
MWANAMKE ALIYEJIFUNGUA KWA NJIA YA KAWAIDA ANAPASWA AKAE SI CHINI YA SIKU 40 NA ALIYEJIFUNGUA KWA KUPASULIWA ANAPASWA KUKAA ZAID YA MIEZI 3, hii ni kwa mujibu wa madaktari bingwa na wakunga wa jadi, swala la kushika mimba baada ya kujifungua hili linategemea na mzunguko wa mwanamama husika.
Madaktari gani? Nikikuambia nami niliattendiwa na gaeno bingwa na akasema okay! Nipe article inayozuia na ikitoa sababu za kisayannsi!
Wakuu salamuni.
Naombeni mwongozo wenu. Mke wangu amejifungua hvi karibuni, alijifungua salama na hali yake baada ya wiki moja na nusu alikuwa safi, na taratibu akaanza kunisogelea.
Kwa sasa ni wiki ya tatu tangu ajifungue, na tayari tumeanza kujamiana na kuondoa ugwadu. Mimi naogopa kwani nahisi anaweza kunasa mimba nyingine wakati bado tunahitaji kumtunza kijana wetu mpaka akomae vya kutosha.
Tumepanga akienda clinic ya kwanza, atumie moja ya njia za kudhibiti mimba ili kuepuka yeye kupata mimba soon.
Swali langu ni kuwa, Mwanamke kawaida anarudi kwenye mzunguko wake baada ya mda gani akisha jifungua?
Ni njia gani nzuri ya uzazi wa mpango ambayo haitaathiri afya ya wife wangu?
Nawashukuruni wakubwa
hahahahah lol! Aisee hapo kwenye rangi nyekundu umenichekesha kupita kiasi hahahaha lol! wiki tatu ni mapema mno Mkuu waoneni wataalamu haraka sana ili wawasaidie kabla hujafunga goli lingine.
better be safe than sorry ..
mkuu umewahi kuona hii thread ...pitia tu uliza swali lolote..
Hongereni sana kwa kumpata mwana.
wiki tatu tu kaka unalala na mkeo haina maana jione haya mpe nafasi mtoto amfurahie mamake
niseme sii ustaarabu hata kidogo subiri walau siku 40 unatuaibisha kabisa
thats not good.
kuvuilia siku 40 au miezi 2 kuna shida gani??? tamaa au?
Better Be Safe Than Sorry ..
mkuu umewahi kuona hii thread ...Pitia tu uliza swali lolote..
Hongereni sana kwa kumpata mwana.