KWA AKINAMAMA TU, na WABABA WAZOEFU

Wala haina tatizo,kama ananyonyesha possibility ya kupata mimba ni ndogo ila ni vizuri akaenda kwa daktari haraka kupata njia muafaka ya kuzuia mimba.Hilo wazo la kwenda mbali ...acha kabisa.
..
Nadhani amekusoma na kukuelewa. Kwa maneno mafupi ni; uwezekano wa kupata mimba mwanamke anaponyonyesha kila wakati ni mdogo mno. Pili, pateni ushauri wa daktari wa kina mama (gyna)
 
Nadhani amekusoma na kukuelewa. Kwa maneno mafupi ni; uwezekano wa kupata mimba mwanamke anaponyonyesha kila wakati ni mdogo mno. Pili, pateni ushauri wa daktari wa kina mama (gyna)

ananyonya kila mara hata mara 10 ndani ya 24 hrs. nawashukuruni, nitafika kwa dk. nitaenda nye kuhudhuria CLINIC ya kwanza
 

yaani best nikifika home huwa mwenye furaha kubwa mno. kuitwa dingi c mchezo, kuna raha zaidi. Nihame niende wapi? sidhani kama itawezekana, labda ofisi inilazimishe kwenda kusoma, kuongeza ujuzi. Ninapenda nione hatua kwa hatua kukua kwa mwanangu.

Aksante best
 

Madaktari gani? Nikikuambia nami niliattendiwa na gaeno bingwa na akasema okay! Nipe article inayozuia na ikitoa sababu za kisayannsi!
 
Madaktari gani? Nikikuambia nami niliattendiwa na gaeno bingwa na akasema okay! Nipe article inayozuia na ikitoa sababu za kisayannsi!

WAKUNGA WA JADI NAKUBALI, LAKINI MADAKTARI NINA MASHAKA, WENYEWE WANARUHUSU AS SOON AS POSSIBLE ANAPOJISIKIA VIZURI. nILIWAHI KUFUNDISHWA NA NURSE, TENA MWANAMKE, ANASEMA HATA WIKI MOJA INATOSHA, IL MRADI TU DAMU ZIKATIKE
 
i see mna hatari!

Wekeni vipandikizi. Ila ni vyema mkaonana na wataalam watawapa ushauri zaidi
 
Duu hiyo kali siyo nchezo mwanawane, wiki tatu tu mashine ipo mzigoni!!!!!!
 
Niliudhuria mafundisho ya ndoa miaka kadhaa iliyopita, kulikuwepo dakitali kwenye yale mafundisho, maana tulikuwa tukifundishwa mambo ya kiroho na mambo ya afya na usafi wa mwili. Yule doctor alishauri kama mama akijifungua kikawaida unasubiri kizazi kipone na kikishapona tu mwendo mdundo. Na alisema kuwa kwa kawaida kizazi huwa kinakuwa fresh ndani ya siku 28.
 
wiki tatu tu kaka unalala na mkeo haina maana jione haya mpe nafasi mtoto amfurahie mamake
niseme sii ustaarabu hata kidogo subiri walau siku 40 unatuaibisha kabisa
thats not good.
kuvuilia siku 40 au miezi 2 kuna shida gani??? tamaa au?
 
Dah hiyo kali wiki 3 = 21 days yaani mpaka aibu hata kusema. Sidhani hata vichomi vimeisha , umpande, maji moto yanamsubiri bado mtoto anataka kunyonya duh hakuna hata raha iv unawezaje?
 
kaka mbele hukujapona vizurii labda ucheki upande mwingine wa shilingi nyuma (tigo)
mwarabu wa dubai dochi wele dubai
 
Dah hiyo kali wiki 3 = 21 days yaani mpaka aibu hata kusema. Sidhani hata vichomi vimeisha , umpande, maji moto yanamsubiri bado mtoto anataka kunyonya duh hakuna hata raha iv unawezaje?

nimeacha kabisa, sirudii tena
 


hahahahah lol! Aisee hapo kwenye rangi nyekundu umenichekesha kupita kiasi hahahaha lol! wiki tatu ni mapema mno Mkuu waoneni wataalamu haraka sana ili wawasaidie kabla hujafunga goli lingine.
 
hahahahah lol! Aisee hapo kwenye rangi nyekundu umenichekesha kupita kiasi hahahaha lol! wiki tatu ni mapema mno Mkuu waoneni wataalamu haraka sana ili wawasaidie kabla hujafunga goli lingine.

nimeacha na niotakuwa mkali akitaka
 
better be safe than sorry ..


mkuu umewahi kuona hii thread ...pitia tu uliza swali lolote..
Hongereni sana kwa kumpata mwana.

nakushukuru mkuu, jana niliambiwa niitafute hiyo thread yako, lakini nilijaribu kukutafuta bila mafaniko. Nakushukuru leo umejitokeza, nitasoma mwanzo mwisho uzi huo. Pamoja sana
 
wiki tatu tu kaka unalala na mkeo haina maana jione haya mpe nafasi mtoto amfurahie mamake
niseme sii ustaarabu hata kidogo subiri walau siku 40 unatuaibisha kabisa
thats not good.
kuvuilia siku 40 au miezi 2 kuna shida gani??? tamaa au?

nimeacha mkuu, ingwa kuna wengine wanakubali. na inakuwa shida sana pale yeye anapoomba game, anakomaa nifamyeje sasa? lakini nimewaelewa sana, nimeacha, sirudii tena hata kama ataomba site
 
Mkuu Ntamaholo,mimi mwenzio mama watoto kajifungua tar 24 April kwa operation na huwezi amini nimedo nae via Condom Dec na yeye ndie alikua anang 'ang'ania kwa hyo cja do tena ctaki kwani nataka kuza mwanangu mie cpendi kabisa kumharibu kwa hyo nmekushangaa mkuu yani wiki 3? Du kua na huruma na mtoto lakn pia kua mkali kwa bibie na usimchekee sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…