Kwa alama hizi nitachaguliwa Nursing?

Kwa alama hizi nitachaguliwa Nursing?

salum evarist

Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
7
Reaction score
2
nimea apply Nursing pale UDOM lakin alama zangu zinanitia mashaka sana nina chemistry E, Biology B, geography B. ( three ya 12). naweza kuchaguliwa au nisahau?
 
Na wewe mwanaume na sharubu zako wataka kuwa nesi mkuu?
 
kuwa mwanaume so tatizo mbona mzee yusuph anabana pua na kuimba taarabu haujaongea?

Hahahaha It was kindly of joke mkuu, ni hivi hiyo kozi ni nzuri pia ni priority so wewe aply tu sababu kitakachokubeba sio divisheni bali points zako, pia ukizingatia kwa sayansi hayo matokeo ni mazuri.
 
nimea apply Nursing pale UDOM lakin alama zangu zinanitia mashaka sana nina chemistry E, Biology B, geography B. ( three ya 12). naweza kuchaguliwa au nisahau?

Kaka mwenyewe nimeomba hiyo kitu pale UDOM wanataka point 4.5 na ww naona una 6.5 so am sure ume qualify.... it doesn't matter chemistry umepata ngapi coz wao wanatak in 3 subjects
Gud luck
 
ngoja nisubir ujue wasiwasi wangu ni hapo kwenye chemistry nimeharibu sana
 
Siku hizi kujiunga chuo rahisi kweli kweli.. Enzi zetu hizo maksi ukasome diploma ya ualimu tu
 
Matokeo yako mazuri mkuu i hope utapata. Vipi hapo kwenye chemistry yaelekea Mkandawile hukumtumia ipsavyo au siku hizi kwenye chemistry nani anashika chati?

ngoja nisubir ujue wasiwasi wangu ni hapo kwenye chemistry nimeharibu sana
 
Hivi kumbe siku hizi marks za kufaulu vizuri ndio hizo???????
 
Matokeo yako mazuri mkuu i hope utapata. Vipi hapo kwenye chemistry yaelekea Mkandawile hukumtumia ipsavyo au siku hizi kwenye chemistry nani anashika chati?

cku hiz mkandawile hana dili waliopo kwenye chat ni Unga na Ngaiza, lakini nao wanababaisha tu
 
cku hiz mkandawile hana dili waliopo kwenye chat ni Unga na Ngaiza, lakini nao wanababaisha tu

pia hawa majamaa wawili mbuga& issueboy ni nouma..,afu msimpe moyo mwenzenu bsc nursing udom requires three principle pass from three subjects
 
kuwa mwanaume so tatizo mbona mzee yusuph anabana pua na kuimba taarabu haujaongea?

Haelewi achana nae! Ndio professional ilioko sokoni pamoja MD,Haina gender watu wote wanapiga.Infact unaweza kupata but hiyo G inaweza kukuharibia ilitakiwa P.
 
Back
Top Bottom