Kwa alivyowekeza jirani yangu kapata faida au hasara?

Kwa alivyowekeza jirani yangu kapata faida au hasara?

Is a concept that a sum of money is worth more now than the same sum will be at a future date due to its earnings potential in the interim.
Yaan,kiasi cha hela ulichonacho kwasasa kuna thamani kubwa kuliko kiasi hikohiko cha hela ukiwa nacho mbeleni.
Mfano:shilling 10,000 ukiwa nayo mkononi sasa,thamani yake ni kubwa kuliko shilingi 10,000 ukiwa nayo mkononi baadaye (wiki,mwezi au mwaka ujao)...

Hii kutokana na mfumuko wa bei wa vitu/ interest rate...
Hii concept nilihitaj kuijua zaidi na calculation zake huenda ikanisaidia
 
Hii concept nilihitaj kuijua zaidi na calculation zake huenda ikanisaidia
fV = pV×(1+r/n)^(nt)
hapo
fV=thamani ya pesa ya baadaye
pV=thamani ya pesa ya sasa
r=mfumuko wa bei
t=miaka
n=idadi ya ongezeko la huo mfumuko wa bei
 
Hii concept nilihitaj kuijua zaidi na calculation zake huenda ikanisaidia
Hapo kwake...
pV = 350,000
r= 5 % (hii kacheki kwenye takwimu za serikali,NBS)
t= miaka 6
n=mara 1 kwa mwaka
Kwahyo
fV=pV(1+r/n)^(nt)
fV=350,000(1+5%/1)^(1×6)
fV=350,000(1.05)^6
fV=350,000×1.1025
fV=385,875

Hiyo 350,000 ya mwaka 2016 ilikuwa na thamani sawa na 385,000 kwa mwaka 2022
Kutokana na hayo mahesabu na kwa kuzingatia mfumuko wa bei wa NBS,
Mjamaa katengeneza faida.
 
Dah mkuu katika majuto yangu ya maisha ni kutokununua kiwanja kigamboni mapema daah nmekaa miaka minne kwa urassa akat nko chuo since 2012 ile hela nilionunulia san lg ilioshikwa ndani ya wiki 2 na watu wa jiji na sijaiona tenaa si bora ninge hold kiwanja kibada au kisiwani am sure bei ilikua mlalo sanaa daah majuto mjukuuu matokeo yake nimenunua mwaka huu ila ni mbaliii kuja kutoboa posta town lisaa sijui na kule patakua town ln.
ilikuwaje pikipiki yako ikashikwa...?
 
Hapo kwake...
pV = 350,000
r= 5 % (hii kacheki kwenye takwimu za serikali,NBS)
t= miaka 6
n=mara 1 kwa mwaka
Kwahyo
fV=pV(1+r/n)^(nt)
fV=350,000(1+5%/1)^(1×6)
fV=350,000(1.05)^6
fV=350,000×1.1025
fV=385,875

Hiyo 350,000 ya mwaka 2016 ilikuwa na thamani sawa na 385,000 kwa mwaka 2022
Kutokana na hayo mahesabu na kwa kuzingatia mfumuko wa bei wa NBS,
Mjamaa katengeneza faida.
Hapa nimekuelewa mkuu umefafanua vyema

Japo ukilinganisha mfumuko wa bei wa 2022 na 2024 nahc utakuwa tofauti
 
Mwaka 2018 mimi na jirani yangu tuliuziwa plots kwa bei ya 350,000(laki tatu na nusu) kila mmoja kwa maana kiwanja kimoja kimetoka viplot viwili. Kwa wakati huo mfuko wa cement ulikuwa unauzwa kwa sh10,500/= ambapo kwa laki 3 na nusu(350,000) nilikuwa napata wastani wa mifuko 34 hivi.

Baada ya miaka 6 yaani 2024, jirani akaniuzia kile kiplot chake alidai ni kidogo anataka kununua kiwanja kamili akataka nimpe lak9 (900,000) nikampa tukamalizana.

Kwa sasa(2024) cement mfuko ni sh18,500 kwa laki 9 nikama wastani wa mifuko 49 ya cement ambapo ukilinganisha na kipindi kile(2018) ni tofauti ya mifuko 15. Hii ina maana amepata faida ya kama 277,500/= (15×18,500) kwa miaka 6.

Je, tuseme kuwa aliwekeza kwa sense kwamba ardhi inapanda thamani, kwa ongezeko hili la 277,500/= kwa miaka sita ni faida au hasara kama muekezaji?

NB: Tunasema ardhi inapanda thamani ila mimi nafikiri pesa ndio inashuka thamani
Umechukua parameter ya cement why sio sukari,dollar au petrol
 
Umechukua parameter ya cement why sio sukari,dollar au petrol
Inflation rate hupimwa na bei ya bidhaa husika ndio maana nikachukilia mfano wa cement, kingine naweza angalia nondo kwani vyote vinahusiana na ujenzi
 
Thamani ya ardhi hupanda kwa sababu tofauti.

Moja kubwa kabisa ni kukuwa kwa mji, mji unavyokuwa huduma muhimu kuwepo basi thamani itapanda tu.
Kigamboni kuna maeneo yalikuwa yanauzwa laki kadhaa mpaka kufika 2000 na kitu hivi, sasa hivi ni milioni 20+ huko. Jirani hapa mtu kafika milioni 100 kwa eneo tupu kasema hauzi.
Sasa madon wanakuja kununua vibanda, wanahamisha wanajenga, juzi kati tu upande wa pili mtu kauza milioni 150, nyumba ile kwa kipindi alichojenga yeye plus uwanja hakumaliza milioni 30, leo anauza 150.
Ni wapi hapo Mkuu, pale karibu na shely ya GaPCo? Ndo nilionesgwa kiwanja milion 100
 
H
Hapa nimekuelewa mkuu umefafanua vyema

Japo ukilinganisha mfumuko wa bei wa 2022 na 2024 nahc utakuwa tofauti
Hapo mi nilipigia hesabu mpaka kipindi ambacho hiko kiwanja kimeuzwa...
So mjamaa alipata faida,
Ila ukitaka kupata mpaka ya 2024,hapo kwenye 6,weka 8.
Na inflation rate bado inabaki hiyohiyo 5%,.B.O.T imejitahidi sana kwenye kuzuia mfumuko.
 
Inflation rate hupimwa na bei ya bidhaa husika ndio maana nikachukilia mfano wa cement, kingine naweza angalia nondo kwani vyote vinahusiana na ujenzi
Since unaongela Ardhi, hapo ungesaka Data za bei elekezi za Ardhi zinazotolewa na serikali.
 
Inflation rate hupimwa na bei ya bidhaa husika ndio maana nikachukilia mfano wa cement, kingine naweza angalia nondo kwani vyote vinahusiana na ujenzi
Kuna bidhaa zinapanda sana bei tofautina zingine,mfano sukari,mafuta
 
H

Hapo mi nilipigia hesabu mpaka kipindi ambacho hiko kiwanja kimeuzwa...
So mjamaa alipata faida,
Ila ukitaka kupata mpaka ya 2024,hapo kwenye 6,weka 8.
Na inflation rate bado inabaki hiyohiyo 5%,.B.O.T imejitahidi sana kwenye kuzuia mfumuko.
Ok hapa nimekuelewa mkuu
 
Mwaka 2018 mimi na jirani yangu tuliuziwa plots kwa bei ya 350,000(laki tatu na nusu) kila mmoja kwa maana kiwanja kimoja kimetoka viplot viwili. Kwa wakati huo mfuko wa cement ulikuwa unauzwa kwa sh10,500/= ambapo kwa laki 3 na nusu(350,000) nilikuwa napata wastani wa mifuko 34 hivi.

Baada ya miaka 6 yaani 2024, jirani akaniuzia kile kiplot chake alidai ni kidogo anataka kununua kiwanja kamili akataka nimpe lak9 (900,000) nikampa tukamalizana.

Kwa sasa(2024) cement mfuko ni sh18,500 kwa laki 9 nikama wastani wa mifuko 49 ya cement ambapo ukilinganisha na kipindi kile(2018) ni tofauti ya mifuko 15. Hii ina maana amepata faida ya kama 277,500/= (15×18,500) kwa miaka 6.

Je, tuseme kuwa aliwekeza kwa sense kwamba ardhi inapanda thamani, kwa ongezeko hili la 277,500/= kwa miaka sita ni faida au hasara kama muekezaji?

NB: Tunasema ardhi inapanda thamani ila mimi nafikiri pesa ndio inashuka thamani
Uwe unaongeza sifuri kwenye kila hela kwenye hiyo hesabu, utaona huo niuwekezaji mzuri tu, pesa aliyoweka ndio ndogo.
 
ilikuwaje pikipiki yako ikashikwa...?
Kipind kile jiji walikua wanazishika sana pikipiki maeneo ya mjini kama posta na kariakoo.. ilishikwa hana helmet na kashusha abiria sehem sio..bahati mbaya wakati inashikwa nilikua mkoani ufatiliaji kuikomboa nmemuachia mtu nae hakua serious hadi nitolee
 
Kipind kile jiji walikua wanazishika sana pikipiki maeneo ya mjini kama posta na kariakoo.. ilishikwa hana helmet na kashusha abiria sehem sio..bahati mbaya wakati inashikwa nilikua mkoani ufatiliaji kuikomboa nmemuachia mtu nae hakua serious hadi nitolee
Pole sana...Rafiki yangu
 
Back
Top Bottom