Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
- Thread starter
- #21
Hii concept nilihitaj kuijua zaidi na calculation zake huenda ikanisaidiaIs a concept that a sum of money is worth more now than the same sum will be at a future date due to its earnings potential in the interim.
Yaan,kiasi cha hela ulichonacho kwasasa kuna thamani kubwa kuliko kiasi hikohiko cha hela ukiwa nacho mbeleni.
Mfano:shilling 10,000 ukiwa nayo mkononi sasa,thamani yake ni kubwa kuliko shilingi 10,000 ukiwa nayo mkononi baadaye (wiki,mwezi au mwaka ujao)...
Hii kutokana na mfumuko wa bei wa vitu/ interest rate...