Haya mambo ya wadada kutanguliza pesa yamewaponza wengi sana. Jamaa kipindi hana kitu unamdharau akipata unaanza kujisogeza uzuri vijana awaachi wanamega then wanasepa unaanza kutafuta mchumba JF Connect. Mwanaume hata 50 anaoa, mwanamke je, mpaka uwe na hela au kazi nzuri ndo uolewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.