kwa aliyetayari kua mume wangu


Hivi ukiwa na elimu ya juu ndiyo kigezo kikubwa cha kuwa mume bora,jiangalie dada kuna watu humu wana shahada za juu za Nuclear Science na Atomic Science,lakini nguvu za kiume zote wameziacha maabara kutokana na kuchezea mionzi.Choose a better choice
 
Umri wangu 33, elimu ya juu, kazi kwenye co. Isiyo ya kiserikali, dhehebu Anglican sifa nyinginezo ni:Tasa,HIV+ve sijui ninafit? Haya ni pm kama vip.
 
Usitoe tangazo tu, jaribu kupitia ya wanaume ukiona unafit unachek nae, hili litakuja kutupa heshima kwenye mtandao wetu na hata kuja kutuu nganisha vyema iwe kwa kuonjana au hata kuchukuana vyema. kwani mipango ya mungu siku zote imefichwa. nakushauri soma kwanza za wanaume afu ukijiona una vigezo una pm mtu.
 

Dislike! I'm approaching 55 but still in need of at least one more!
 

tuwasiliand kwa no 0753082524
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…