kwa aliyetayari kua mume wangu

kwa aliyetayari kua mume wangu

Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 31 na asizid 35,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.

Hivi ukiwa na elimu ya juu ndiyo kigezo kikubwa cha kuwa mume bora,jiangalie dada kuna watu humu wana shahada za juu za Nuclear Science na Atomic Science,lakini nguvu za kiume zote wameziacha maabara kutokana na kuchezea mionzi.Choose a better choice
 
Umri wangu 33, elimu ya juu, kazi kwenye co. Isiyo ya kiserikali, dhehebu Anglican sifa nyinginezo ni:Tasa,HIV+ve sijui ninafit? Haya ni pm kama vip.
 
Usitoe tangazo tu, jaribu kupitia ya wanaume ukiona unafit unachek nae, hili litakuja kutupa heshima kwenye mtandao wetu na hata kuja kutuu nganisha vyema iwe kwa kuonjana au hata kuchukuana vyema. kwani mipango ya mungu siku zote imefichwa. nakushauri soma kwanza za wanaume afu ukijiona una vigezo una pm mtu.
 
Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 31 na asizid 35,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.

Dislike! I'm approaching 55 but still in need of at least one more!
 
Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 31 na asizid 35,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.

tuwasiliand kwa no 0753082524
 
Back
Top Bottom