kwa aliyetayari kua mume wangu

kwa aliyetayari kua mume wangu

Lorisy

Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
74
Reaction score
36
Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 31 na asizid 35,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.
 
Mwaka huu, kila mtu anatafuta mchumba.
Kila la heri mama, Mungu akubariki.
 
Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 32 na asizid 40,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.

Duh! nimependa kujileta, Bomba, sifa nyingi ni kama zangu. Mbona zako hujasema? Tusije fika mahali tuakimbiana kama wengine! Nipo Tayari upo wapi eee! nhhhhu!
A%20S%208.gif
 
Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 32 na asizid 40,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.

Me niko tayari,cv napeleka wapi?
 
Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 32 na asizid 40,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.

Can you also give your qualification(s) if don't mind? I'm serious.
 
Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 31 na asizid 35,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.

if you real mean it , pm me.
 
we ndo mwenye shida ya mume,ni PM basi,hujui wanaume gharama karne hii oooh
utasubiri
 
Ku PM sijui, ila nichek kwa cm namba 0659751370 ili 2wekane sawa! Nina cfa na vigezo vyote uvitakavyo.
 
Habari zenu wanajf

Mimi ni msichana natafuta rafiki wa kiume ambaye anaweza kuja kua mume na baba wa watoto wangu..
Ningependa awe kijana mwenye umri kuanzia 31 na asizid 35,Awe mkristu mcha Mungu,Awe na elimu ya juu nakuendelea,,Kwa mtu aliye siriazi ani PM.

mimi nipo sawa nicheki kwenye 0716078484
 
Back
Top Bottom