Michael Richard
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 166
- 496
No wataka address Kamila ilo sajiliwa kaka au inayo julikana kama hiyoHufahamu address yako kivipi mkuu si unaandika mbagala mahali ulipo
Hiyo adress ya posta sina embu nielekeza naipatajeUnachotakiwa hapo ni kujaza taarifa wanazotaka muhimu zaidi ni namba yako ya simu inayopatikana sababu parcels za aliexpress mara nyingi zinapitia posta, so ukifika posta watakupigia simu ukafuate mzigo wako
No wataka address Kamila ilo sajiliwa kaka au inayo julikana kama hiyoView attachment 2602269
Haina ulazima uwe na anuani ya posta, muhimu ujaze mkoa uliopo hiyo ndo muhimu, mzigo wako utafikia posta kisha posta watakutafuta wao mzigo ukifikaHiyo adress ya posta sina embu nielekeza naipataje
agent wangu anaye niletea mpaka bongo kupitia alibaba ni silent oceanAgent wako ni nani, muweke hapa nasi tutamtumia huko alibaba
Ulazima upo kwasababu huikuruhusu kulipia bila kujaza ile address mkuuHaina ulazima uwe na anuani ya posta, muhimu ujaze mkoa uliopo hiyo ndo muhimu, mzigo wako utafikia posta kisha posta watakutafuta wao mzigo ukifika
Wewe jaza vyovyote tu mkuu muhimu ni namba yako ya simu na mkoa uliopoUlazima upo kwasababu huikuruhusu kulipia bila kujaza ile address mkuuView attachment 2602297
Sijui unanielewa sina address yakujaza hapo so naipataje mkuuWewe jaza vyovyote tu mkuu muhimu ni namba yako ya simu na mkoa uliopo
1. Mbagala 113Sijui unanielewa sina address yakujaza hapo so naipataje mkuu
Huna adress kivipi? Maana yake haupo popote.Sijui unanielewa sina address yakujaza hapo so naipataje mkuu
Ni kitu rahisi ila una complicateSijui unanielewa sina address yakujaza hapo so naipataje mkuu
Kumbe unatumia airtel??Ulazima upo kwasababu huikuruhusu kulipia bila kujaza ile address mkuuView attachment 2602297
Mm nip mbagala kakaHuna adress kivipi? Maana yake haupo popote.
Anyway fuata #13
Airtel????Kumbe unatumia airtel??