Kwa ambaye hatamuelewa hapa Mchambuzi Oscar Oscar kwa huu Ujumbe wake Murua na wa Ukweli kabisa basi akapimwe Akili Mirembe haraka sana

Kwa ambaye hatamuelewa hapa Mchambuzi Oscar Oscar kwa huu Ujumbe wake Murua na wa Ukweli kabisa basi akapimwe Akili Mirembe haraka sana

mmekimbia wenyewe na bado mnahangaika kuwawaza Yanga!! Mlichofanya ni kuhairisha tatizo kwa muda tu, hakika mambo bado ni magumu kwenu
 
mmekimbia wenyewe na bado mnahangaika kuwawaza Yanga!! Mlichofanya ni kuhairisha tatizo kwa muda tu, hakika mambo bado ni magumu kwenu
Mgeni rasmi mama samia kwenye mechi iliyokuwa imeahirishwa mkuu.Halafu kwanini kwa kuwaonesha ninyi ni kiboko yao MSIENDE MKAWASHENYETE PALE PALE MBELE YA MAMA.Kuwathibitishoa kwamba waliwakimbia.
 
Mgeni rasmi mama samia kwenye mechi iliyokuwa imeahirishwa mkuu.Halafu kwanini kwa kuwaonesha ninyi ni kiboko yao MSIENDE MKAWASHENYETE PALE PALE MBELE YA MAMA.Kuwathibitishoa kwamba waliwakimbia.
unafikiri huyo mgeni rasmi ni mpumbavu kiasi hicho akubali kuaibushwa

yanga walisha sema hawaendi, mgeni rasmi aende acheze na simba na bodi ya ligi
 
unafikiri huyo mgeni rasmi ni mpumbavu kiasi hicho akubali kuaibushwa

yanga walisha sema hawaendi, mgeni rasmi aende acheze na simba na bodi ya ligi
Tutaona,msimtukane TU mama wa watu,mkamwta kiherehere.Kamuulize FAISAL TOTO.
 
"Kama kweli mmepeleka Basi lenu Bunju, basi hata wale Wahuni wa juzi Uwanjani kwa Mkapa mliwatuma nyie" Oscar Oscar.

Huenda Oscar Oscar nae kausahu ule Uchambuzi kuwa Wapumbavu na Vibaka wengi Kariakoo wanatoka huko huko.
huu ujumbe hauendani kabisa na kilichotokea juzi
 
Mgeni rasmi mama samia kwenye mechi iliyokuwa imeahirishwa mkuu.Halafu kwanini kwa kuwaonesha ninyi ni kiboko yao MSIENDE MKAWASHENYETE PALE PALE MBELE YA MAMA.Kuwathibitishoa kwamba waliwakimbia.
Rais hawezi ingia kichwa kichwa kwenye mzozo kama huo. Unadhan ikulu hawatafakari itakuwaje kama ataalikwa Rais na bado yanga wakagomea mechi? Unadhan Rais haogopi aibu na kujipotezea mtaji wa siasa?
 
Rais hawezi ingia kichwa kichwa kwenye mzozo kama huo. Unadhan ikulu hawatafakari itakuwaje kama ataalikwa Rais na bado yanga wakagomea mechi? Unadhan Rais haogopi aibu na kujipotezea mtaji wa siasa?
Hamjui nguvu za Raisi wa Tanzania.
 
Rais hawezi ingia kichwa kichwa kwenye mzozo kama huo. Unadhan ikulu hawatafakari itakuwaje kama ataalikwa Rais na bado yanga wakagomea mechi? Unadhan Rais haogopi aibu na kujipotezea mtaji wa siasa?
Mama atakua na washauri wa hovyo akijiingiza kwenye hayo makitu ya simba na yanga na bila shaka hawezi wagawa wapiga kura wake.
 
Tutaona,msimtukane TU mama wa watu,mkamwta kiherehere.Kamuulize FAISAL TOTO.
mwambie akubali mwaliko wa kipumbavu atajuta.

mechi inaweza chezwa ila ikapandikiza chuki ya kisiasa, anaweza zomewa hadi mechi inaisha sijui atajisikiaje
 
"...Hii kesi ikiamuliwa na mapilato kama caf au FIFA walaiiiiiiii😂😂😂 kuna timu mpya itaibuka na kubadilishwa Jina itaitwa young Singida big staziiiiiii..."

Kuna Pacha mmoja hatosahau tabia yake milele😂😂😂
 
Simba na yanga ni Tunu za Taifa kama ulivyo Mwenge wa Uhuru,hayupo kiongozi yeyote wa Yanga au Simba anaeweza kukataa maagizo kutoka juu,wote waliomo kwenye uongozi wa hizi timu ni wahusika wa Serikali hii iliyopo madarakani,kumbukeni kitendo cha Yanga kugomea mechi 2020 kwa muda wa mchezo kusogezwa saa moja tu,je mechi ya marudiano ilichezwa au haikuchezwa?
 
Rais hawezi ingia kichwa kichwa kwenye mzozo kama huo. Unadhan ikulu hawatafakari itakuwaje kama ataalikwa Rais na bado yanga wakagomea mechi? Unadhan Rais haogopi aibu na kujipotezea mtaji wa siasa?
Subirini mwaliko wa iftar hapo kila kitu kitamalizwa
 
Back
Top Bottom