Kwa anaefahamu dawa ya kufukuza Nyani

Kwa anaefahamu dawa ya kufukuza Nyani

Lugulu

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
482
Reaction score
175
Wajumbe!! Naombeni msaada kwa yeyote anaefahamu dawa ya nyani. Siendelei kwa sababu yao, wanakula sana vifaranga wangu.
Nawasilisha.
 
Wajumbe!! Naombeni msaada kwa yeyote anaefahamu dawa ya nyani. Siendelei kwa sababu yao, wanakula sana vifaranga wangu.
Nawasilisha.
Njia ya kwanza watege, ukishamnasa mmoja na kumuua mtundike sehemu awe anaonekana wazi, nyani watahama eneo hilo. Njia ya pili tafuta wenye leseni ya bunduki za shambani, wakipigwa risasi wawili kwa mkupuo, nyani watahama kabisa eneo lako. Njia ya sumu sio nzuri, japokuwa inaweza kuwauwa wengi kama utatumia ndizi mbivu, lakini hakikisha sumu hiyo hainuki.

Pole, na mimi walinisumbua sana Mkuranga, baada ya kuwatwanga risasi, nina miaka mitatu sasa hawatii timu pale.
 
Njia ya kwanza watege, ukishamnasa mmoja na kumuua mtundike sehemu awe anaonekana wazi, nyani watahama eneo hilo. Njia ya pili tafuta wenye leseni ya bunduki za shambani, wakipigwa risasi wawili kwa mkupuo, nyani watahama kabisa eneo lako. Njia ya sumu sio nzuri, japokuwa inaweza kuwauwa wengi kama utatumia ndizi mbivu, lakini hakikisha sumu hiyo hainuki.

Pole, na mimi walinisumbua sana Mkuranga, baada ya kuwatwanga risasi, nina miaka mitatu sasa hawatii timu pale.

Ahsante kaka... Nitazingatia your advice
 
Naungana na bwana Malila.nyani wana akili sana na wanakumbukumbu kubwa.kitu muhimu kuliko vyote kwao ni usalama.wakijua hatari ilipo hawakanyagi tena.shambani kwangu mwaka jana walikuwa wanasumbua ocassionally.Nikapata kijana mmoja akawa anawakimbiza na mbwa.basi akiwepo kambini hawaji.haikuwa tatizo sana.
Sasa nimepata mitego,msimu huu watanitambua.wapo pamoja mate wao nguruwe pori
 
Nyani hawafai kabisa,ushauri uliopewa ni mzuri kabisa,kuwatega,kuwapiga risasi hata mm naamin ukiwatundikia juu mmoja wao aliyekufa hawatapiga hodi...!
 
Naungana na bwana Malila.nyani wana akili sana na wanakumbukumbu kubwa.kitu muhimu kuliko vyote kwao ni usalama.wakijua hatari ilipo hawakanyagi tena.shambani kwangu mwaka jana walikuwa wanasumbua ocassionally.Nikapata kijana mmoja akawa anawakimbiza na mbwa.basi akiwepo kambini hawaji.haikuwa tatizo sana.
Sasa nimepata mitego,msimu huu watanitambua.wapo pamoja mate wao nguruwe pori

Mkuu huo mtego vp unaweza kunishirikisha pia? Make huku huyu noah nae ni noma... Nataka kulima muhogo pia ila nawaza namna ya kumkontroo bwana noah... Ntashukuru
 
Njia ya kwanza watege, ukishamnasa mmoja na kumuua mtundike sehemu awe anaonekana wazi, nyani watahama eneo hilo. Njia ya pili tafuta wenye leseni ya bunduki za shambani, wakipigwa risasi wawili kwa mkupuo, nyani watahama kabisa eneo lako. Njia ya sumu sio nzuri, japokuwa inaweza kuwauwa wengi kama utatumia ndizi mbivu, lakini hakikisha sumu hiyo hainuki.

Pole, na mimi walinisumbua sana Mkuranga, baada ya kuwatwanga risasi, nina miaka mitatu sasa hawatii timu pale.

Malila, hivi sumu yao ni ipi, make nataka ni full kabisa...
 
Mkuu huo mtego vp unaweza kunishirikisha pia? Make huku huyu noah nae ni noma... Nataka kulima muhogo pia ila nawaza namna ya kumkontroo bwana noah... Ntashukuru
kwa uzoefu wangu wa kijijini miaka ile, dawa kubwa ya kufukuza nyani, kama utabahatika mtu akawa na bunduki ya gobole, we wavizie wakiwa wamekusanyika kwenye shamba lako, piga katikati ya kundi hata kama hautaua hata mmoja, ule mshindo wa gobole, watakimbia sana hadi kuja kujikusanya kila mmoja huwa amekimbia kilomita nyingi sana, ajabu yake ktk kipindi kama hicho cha mshindo nyani mwenye kitoto huwa anaweza kutelekeza hata kitoto chake kutokana na jinsi wanavyoogopa mshindo wa gobore.

kutumia mtego huwa hawaogopi sana hata wakikuta mwenzao amenasa. watarudia tu. tulishatega sana hao wadudu ifakara huko. ni wasumbufu na nimepambana nao sana.

kwa habari ya huyo noah anayesumbua, mtego ni dawa yake, lakini ndugu naomba ukinasa noah nitafute hata hela nitakupa, manake hao noah wa pori huwa mwake sana.
 
Njia ya kwanza watege, ukishamnasa mmoja na kumuua mtundike sehemu awe anaonekana wazi, nyani watahama eneo hilo. Njia ya pili tafuta wenye leseni ya bunduki za shambani, wakipigwa risasi wawili kwa mkupuo, nyani watahama kabisa eneo lako. Njia ya sumu sio nzuri, japokuwa inaweza kuwauwa wengi kama utatumia ndizi mbivu, lakini hakikisha sumu hiyo hainuki.

Pole, na mimi walinisumbua sana Mkuranga, baada ya kuwatwanga risasi, nina miaka mitatu sasa hawatii timu pale.

Bro Malila nitapataje mtu wa kunipigia risasi hawa wadudu wananiludisha nyuma sana mpaka nakata tamaa plz naomba msaada ata wa kuniunganisha na hao maliasili.
 
Dawa nyingine ni pilipili ya unga unaweka kwenye kopo lililo tobolewa chini na unalitunfika juu pamoja na nyama au ndizi
 
Bro Malila nitapataje mtu wa kunipigia risasi hawa wadudu wananiludisha nyuma sana mpaka nakata tamaa plz naomba msaada ata wa kuniunganisha na hao maliasili.

Shambani kwako ni wapi mkuu???!!
Kama ni sehemu ambayo kuna nyani wengi basi hakika mpigaji yupo hapo hapo!!!
Huhitaji mali asili wala anatakiwa raia tu mwenye bunduki na risasi za wanyama siku wategee ndizi hata mkungu wakikusanyika pale gonga katikati kwa umbali mzuri hukosi wawili wa watatu na wanalia kama watu wakiumia!!!!

Utapumzika then watarudi piga tena wakijua kuwa ni zoezi endelevu wanahama mazima!!!
Ila kama umeamua kulima kabisa ikiwa ni shughuli yako, fika mzinga nunua yako kabisa zipo za kichina pale pump action risasi tano unapandisha moja zinakaa sita baaaas!!!!

Kila ukifika ukiwakuta unapiga tu kama hawako kwako ila unawasikia piga tu free shot wakisikia mlio wanatokomea!!!!
 
Dawa nyingine ni pilipili ya unga unaweka kwenye kopo lililo tobolewa chini na unalitunfika juu pamoja na nyama au ndizi

Ha ha haaa sasa ikiwaingia machoni si unaweza baki unacheka tu!!!!
 
Dawa nyingine ni pilipili ya unga unaweka kwenye kopo lililo tobolewa chini na unalitunfika juu pamoja na nyama au ndizi

Ha ha haaa sasa ikiwaingia machoni si unaweza baki unacheka tu!!!!
Tena hii pilipili nasikia hata Tembo anaikimbia!!!
 
Duh! Nimepata shule lakini na kicheko pia.
 
Dawa nyingine ni pilipili ya unga unaweka kwenye kopo lililo tobolewa chini na unalitunfika juu pamoja na nyama au ndizi

Kaka nimekukubali na hii njia ya asili nipatie maelezo kidogo kopo hilo watazulika vipi si watakula ndizi alafu watimue? pilipili gani maana zipo aina nyingi? na hilokopo liwe la ukubwa gani na liwe la plastic au chuma nisaidie mkuu napata shida sana na hawa nusu binadamu.
 
Shambani kwako ni wapi mkuu???!!
Kama ni sehemu ambayo kuna nyani wengi basi hakika mpigaji yupo hapo hapo!!!
Huhitaji mali asili wala anatakiwa raia tu mwenye bunduki na risasi za wanyama siku wategee ndizi hata mkungu wakikusanyika pale gonga katikati kwa umbali mzuri hukosi wawili wa watatu na wanalia kama watu wakiumia!!!!

Utapumzika then watarudi piga tena wakijua kuwa ni zoezi endelevu wanahama mazima!!!
Ila kama umeamua kulima kabisa ikiwa ni shughuli yako, fika mzinga nunua yako kabisa zipo za kichina pale pump action risasi tano unapandisha moja zinakaa sita baaaas!!!!

Kila ukifika ukiwakuta unapiga tu kama hawako kwako ila unawasikia piga tu free shot wakisikia mlio wanatokomea!!!!

Kaka nipo sehem moja inaitwa Gwata ktk wilaya ya Kisarawe huko ni wafugaji tu ila kilmtu analia na nyani watu wamekata tamaa huna mtu anae weza kuja kutufanyia hilo zoezi au umenielekeza pale Pump Action sipajui wako mkoa Gani? kama una mawasiliano. na ya binafsi ina range kiasi gani mkuu?
 
Back
Top Bottom