ntmgenesis
Senior Member
- Apr 22, 2010
- 167
- 30
Ha ha haaa sasa ikiwaingia machoni si unaweza baki unacheka tu!!!!
Tena hii pilipili nasikia hata Tembo anaikimbia!!!
Jamani tujuzeni hii mbinu inaonekana ni nzuri kopo la aina gani plastic au bati na ukitoboa chini si pilipil itamwagika? pia hiyo pilipili itawazuru vipi ndani ya kopo?