Kwa anaejua kuhusu hizi mambo za BIASHARA YA MTANDAONI anieleweshe



Usiingie kwenye huo mtego. Utapoteza zaidi unazopata pamoja na muda wako.
 
Biashara zoooote za networking waliopata faida na utajiri ni wale mataicoon wa mwanzo mwanzo kabisa wa hizo biashara lakini waliofatia hesabuni mko kwenye chungu cha umasikini.
 
Mi nilichobaki nacho ni kifurushi cha kusoma bachelor ya business administration with IT online, hapa nilipo natafuta wa kumpa hii package walau hata nifute machozi ya mbwembwe zao
 
Hahahaaaa, mi ntarudi tena pale ila sio kujiunga, kuna mdada mmoja mhaya pale alinivutia sana yeye ndio alinipa semina ya 2, mi nkawa namuwazia yeye tu hata sielewi anachoniambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi akushawishi kununua ndio hakupe papuchi.
Umejiunga JF miaka mingi na Kuna nyuzi nyingi zinasema ubaya wa Qnet Leo hii na ww unataka kuingizwa mkenge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…