milkman
Member
- Sep 22, 2019
- 64
- 33
Kwanza wakuu poleni na majukumu ya kutwa mzima.nijielekeze mojakwamoja katika hoja yangu hawa jamaa wajenzi wa reli yetu ya mwendo kasi ,sielewi kwani kampuni nyingi za ujenzi zinakuja tunazioma asilimia kubwa madereva wa mitambo huwa watanzania wenzetu sasa hawa mbona wao ndio waendesha mitambo hii imekaaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app