Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
dawa inaweza kutibu nyama ya mwili iliyooza badala ya kuiondoa/operation ndogo? au hujui jipu ni nini.ok pole eve, mara nyingi jipo usababishwa na bacteria kwa hiyo ukitumia antibiotic apropriate inapona.Tumia cloxacillin 500mg bd kwa siku saba
ok pole eve, mara nyingi jipo usababishwa na bacteria kwa hiyo ukitumia antibiotic apropriate inapona.
Tumia cloxacillin 500mg bd kwa siku saba
Thanks, nishameza ampiclox tangu kinaanza lakini hata hakijaisha tu!!!!
Tumia dawa mara baada ya kupasuliwa na kutoa uchafu(usaha)..Dawa pekee haitasaidia katika kusafisha jipu.Pole.
Nijuavyo mm dawa ya jipu ni kulikamua tu lakin hyo ya kumeza dawa mh!.....cjui lakin labda ndo mambo ya DIGITAL
Mbona muoga hivyo shostito, au hicho kijipu kimekaa sehemu mbaya?Ahsante, yani huko kupasuliwa ndo naogopa nlidhani kuna tiba mbadala ya kukausha kikiwa bado kidogo.....
wakati tunakuwa tulikuwa tunatumia mafuta ya taa kupaka eneo husika kulingana na stage ya jipu,kupasua ni solution pia,pole sana..Ahsante, yani huko kupasuliwa ndo naogopa nlidhani kuna tiba mbadala ya kukausha kikiwa bado kidogo.....
ok pole eve, mara nyingi jipo usababishwa na bacteria kwa hiyo ukitumia antibiotic apropriate inapona.
Tumia cloxacillin 500mg bd kwa siku saba
Nawasalimu wote.....!!!!
naulizia chanzo na tiba ya jipu, mbali na kupasuliwa kuna tiba yoyote mbadala?
mwenye kujua hilo naomba anisaidie!!!
mmmh haya ahsante yani naogopa kukamuliwa!!!!
Mbona muoga hivyo shostito, au hicho kijipu kimekaa sehemu mbaya?
ahsante sana.....!!!!!wakati tunakuwa tulikuwa tunatumia mafuta ya taa kupaka eneo husika kulingana na stage ya jipu,kupasua ni solution pia,pole sana..
ha ha namaanisha jipu bana abscess !!!!!!!!!!!!UnamaanishaJipu jipu au Jipu mimba?Bazazi
Mkuu, unaogopa kukamuliwa, kweli?
Elimu kitaa-Ukiona umezungurukaaaaa,halijapona,nenda ANGAZA