ok pole eve, mara nyingi jipo usababishwa na bacteria kwa hiyo ukitumia antibiotic apropriate inapona.
Tumia cloxacillin 500mg bd kwa siku saba
nipo kwenye digitali.....nna bioline za kutosha!!!!!!!
ha ha ha umenichekesha kwakweli kumbe bioline na bilioni ni kitu kimoja?????????????Kwani wenye mabilioni ndo hawapo angaza??
ha ha ha umenichekesha kwakweli kumbe bioline na bilioni ni kitu kimoja?????????????
dawa nyengine utafute mtu alinyonye hilo jibu huezi kupata maumivu kabisa
kumbeeeee,so sorry sister,ndo nini hcho kitu???
aggrrrhhhh wewe dawa gani hii!!!!
wewe unatafuta dawa unapopewa unalalamika sasa humuamini Mganga au vipi? jaribu usipopona nenda tena kwa mganga
teh naomba basi we ndo unifanyie hiyo dawa!!!!!