kwa anaejua watanzania wanataka nini naomba munambia hapa jukwaani.

kwa anaejua watanzania wanataka nini naomba munambia hapa jukwaani.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
naona wabongo vichwa vyetu ni sifuri hatujali kuhusu maisha ya baadae na kizazi chetu,what we look for enternment simba yanga,mabishano ya kiimani na kisiasa,vichekesho na kudanganywa sioni watu wakichukulia serious mambo ya siasa na maisha yao.
 
Ww c mmoja wa sisi watanzania mkuu ,tuanze na ww useme unataka nn,Na cc tufate Kwa kusema tunataka nn
 
naona wabongo vichwa vyetu ni sifuri hatujali kuhusu maisha ya baadae na kizazi chetu,what we look for enternment simba yanga,mabishano ya kiimani na kisiasa,vichekesho na kudanganywa sioni watu wakichukulia serious mambo ya siasa na maisha yao.
Nyerere alisema muafrika anataka mambo 3
1-Pombe
2-Mwanamke
3-Mziki
Kama kuna mengine utajazia.
 
naona wabongo vichwa vyetu ni sifuri hatujali kuhusu maisha ya baadae na kizazi chetu,what we look for enternment simba yanga,mabishano ya kiimani na kisiasa,vichekesho na kudanganywa sioni watu wakichukulia serious mambo ya siasa na maisha yao.
Walaumiwe CCM tu
 
naona wabongo vichwa vyetu ni sifuri hatujali kuhusu maisha ya baadae na kizazi chetu,what we look for enternment simba yanga,mabishano ya kiimani na kisiasa,vichekesho na kudanganywa sioni watu wakichukulia serious mambo ya siasa na maisha yao.
watanzania tunataka"MITUNGI,BLANT na MIKASI"
 
Leo mmekuja na ma uzi ya kuhamasisha watu waichukie serikali yao.Hamna maandamano ***** zenu. Andamaneni na familia zenu pimbi nyie.
 
Back
Top Bottom