Kwa anaejua

Kwani danguro si watu wanaitumia kulalana? Hii inawakutanisha kulalana juu yao
Kwa wenzetu instituition kama hizi zipo...
Ndiyo maana wana, open relationships, long term na short term relationships, wana friendships only na just dating na wanaelewana vizuri sana...

Kwa Tanzania hakuna kitu kama hicho.. The minute you agree to meet, ni kuwaziana ngono...


Cc: mahondaw
 
Kwahiyo ni ngumu eeh kuwepo?
 
Naona kifesi kaanzisha yake huko insta na kwenye app yake.
 
Mamy unaonaje tukianzisha hiyo taasisi? Yaweza kuwa msaada kwa jamii lakini pia na sisi tukapata chochote kitu.
 
Mamy unaonaje tukianzisha hiyo taasisi? Yaweza kuwa msaada kwa jamii lakini pia na sisi tukapata chochote kitu.
Tuanzishe ni kitu kizuri..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…