Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Ni ujinga tu.Ni kweli ila wabongo wataiita danguro si unawajua hawanaga dogo
Niliiona hii SA.Hivi kwanini Tanzania hakuna kampuni zinazodeal na mambo ya relationship. Kwa mfano mimi niko single na sijioni kumpata mtu sasa naenda kwao waniunganishe na wanaume waliopo single kwenye data base ya kampuni. Au blind dates mbona hatufanyi sisi.
Siongelei kuunganisha watu na madanga hiyo ni kawaida naongelea ile relationship serious kabisa ambayo inaweza kuzaa ndoa.
Karibu ingawa ni tofauti kidogo na ili wazo lako, yeye yake anaiita temporary boyfriend service.Eeeeh.. asante kwa kunijuza my dear
Ngoja nije PM tuyajengeTuanzishe ni kitu kizuri..
Temporary kiaje?? kwamba mnaonana siku moja halafu next day kila mtu anafanya yake au?Karibu ingawa ni tofauti kidogo na ili wazo lako, yeye yake anaiita temporary boyfriend service.
anakutext, anakupigia.....ila hamuonani....na ni huduma ya mwezi 1 nadhani.
Naomba na mm niwe sheya.naunga mkono hoja.nimependa fikra zako.Tuanzishe ni kitu kizuri..
Mnakua mnachat kama mtu na mwenzi wake ila hakuna kuonana.Temporary kiaje?? kwamba mnaonana siku moja halafu next day kila mtu anafanya yake au?
Ni fursa mojawapo, wanye makosa watakua watumiaji wakienda nje y lengo na watakao tafsiri vibaya ,mf: Guest .Tujipange tufanye kitu mkuu
Ata mm nimeshangaa!Sasa hiyo maana ake nini?
Nadhani hilo litakuwa none of her business as long as ametekeleza objective ya taasisi yake la kuwakutanisha wale wanaotafuta wenza wa maisha.Ofcoz founder atakufungua kwa nia njema kabisa... Ila binadamu watakayoitumia hiyo taasisi ndiyo shida...
Cc: mahondaw
Hapo nadhan itakuwa ni kupandshana genye tu.Sasa hiyo maana ake nini?
Haiwekwi picha yako mtandaoni.. unapoleta request unaonyeshwa profile ya mtu ambae una requirements kama za kwako... huwezi weka mtandaoni sababu sio dating siteswala hili kwana lazima liwe confidential sasa wengi huwa wanataka picha zao zisionekane hadharani maana wanana watachekwa, market yake ni ndogo sana, lazima watu walipie ili kuendelea kuweka tovuti hewani. wengine hawana nia njema wanasema ni wakweli wanaishia kuwaibia waliopendana na wengine kutokuwa wakweli sasa ina discourage sana watu kuwa na mitandao kama hii maana unaweza ukaambiwa unatengeneza mtandao wa kuibiana