Kwa anaetaka kunioa

Kwa anaetaka kunioa

1.uroho mbaya.

2.hujui kujiremba.

3.hujui kupika

4.shapeless

5.mbabe

6.mbishi wa asili

7.kikojozi

8.unawivu zaidi ya nyegere.

9.mropokaji.

10.mchoyo.
 
TO MY WIFE;-.
1.nashukuru kwani ulinitunzia usichana wako..
2.huna tamaa ya pesa na wanaume wengne.
3.unanipenda kuliko mfano.
4.unapenda familia iwe na aman na upendo.
5.unaniheshmu na kunijali,
6. U r smart, na unajua kuhandle mambo.
7.una heshma na adabu kwa watu wote..
8.hutumii hela vibaya na unajua kutunza pesa,
9.unaniamini na kunielewa.
10.una macho mazur, sura nzur, lips nzur, matit mazur, kiuno, mapaja na miguu..
Jamani, sijaona kama wewe Vanessa.
 
TO MY WIFE;-.
1.nashukuru kwani ulinitunzia usichana wako..
2.huna tamaa ya pesa na wanaume wengne.
3.unanipenda kuliko mfano.
4.unapenda familia iwe na aman na upendo.
5.unaniheshmu na kunijali,
6. U r smart, na unajua kuhandle mambo.
7.una heshma na adabu kwa watu wote..
8.hutumii hela vibaya na unajua kutunza pesa,
9.unaniamini na kunielewa.
10.una macho mazur, sura nzur, lips nzur, matit mazur, kiuno, mapaja na miguu..
Jamani, sijaona kama wewe Vanessa.

Hongera sana mkuu!!!
 
Ni kwa sababu hakuna kama smile duniani,upo peke yako tu!
 
Ni kwa sababu hakuna kama smile duniani,upo peke yako tu!

Wacha kumuongopea mtoto wa watu wewe,
Juzi nlikusikia ukimwambia mtu "the same sentence" pale Kona Bar a.k.a Ambiance Club!!
 
Just lost ma track. have u seen it? aaah jukwaa. bye.
 
Kwa sababu una m.b.u.n.y.e ndogo na mie dushelele langu kubwa so ntakua nainjoyi
 
TO MY WIFE;-.
1.nashukuru kwani ulinitunzia usichana wako..
2.huna tamaa ya pesa na wanaume wengne.
3.unanipenda kuliko mfano.
4.unapenda familia iwe na aman na upendo.
5.unaniheshmu na kunijali,
6. U r smart, na unajua kuhandle mambo.
7.una heshma na adabu kwa watu wote..
8.hutumii hela vibaya na unajua kutunza pesa,
9.unaniamini na kunielewa.
10.una macho mazur, sura nzur, lips nzur, matit mazur, kiuno, mapaja na miguu..
Jamani, sijaona kama wewe Vanessa.
nimeipenda hii lol
 
Nadhani nimepitwa na threas ya mwanzo!! nani kasema anakutaka dada, mpaka unauliuliza na kutaka sababu za kuwa nawewe?!?!!
Napita tu...
 
sababu hujiamini kama unaweza kuolewa,hivyo nitakuoa ili uondokane na adha ya kujitanga jf.
 
-Kichwa/Hardworking
-Kimawazo tunaendana
-Attitude
-Make me feel only girl in the world
-So special
-Outgoing personal
-Unajua kuzungumza na kuvaa
-Sura ya kupendeza
 
Back
Top Bottom