Sultan_mdosse
Senior Member
- Nov 24, 2013
- 145
- 16
Wakuu!
Kuna ndugu yangu anataka kuomba Diploma ya Ualimu, anauliza watu wameshaanza kutuma maombi? Na kama wameanza mwisho ni lini?
Msaada kwa anaye jua.
Kuna ndugu yangu anataka kuomba Diploma ya Ualimu, anauliza watu wameshaanza kutuma maombi? Na kama wameanza mwisho ni lini?
Msaada kwa anaye jua.