JONATHAN KAMWAVAH'S
Senior Member
- Oct 9, 2012
- 184
- 24
- Thread starter
- #21
samahani kwa wale wateja wangu ambao mlinitafuta kwa simu lakini hamkunipata simu ilikata chaji na umeme haukuwepo,samahani sana ila sasa nipo hewani,karibuni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mashamba ya laki tano barabara ipo?wale wa mashamba ya laki tano pia nanyi karibuni,kata ya mkamba wilaya ya mkuranga utapata maeneo safi.
Huyu jamaa mwisho kuingia jf ilikuwa 2014 sijui kama bado anapita kama guest humu au ana acc.mpyaJonathan contact with me
Shamba pori la laki 7 liko Mkuranga ipi?shamba karibu na barabara milioni mbili na nusu,mbali kidogo milioni moja na nusu shamba poli laki saba,0719450426 karibu