HabariWadau habar za jioni??
Mzee wa Chake Chake via kwa MpalangeNimesoma hilo neno anal nimedinda
Pole
Huyu kijana mshenzi huyu
Babuu hufai wewe uone mkei wa mwenzio ili iwe je?Fanya na kapicha hapo tuone tunaanzia wapi kukushauri.
Sawaa mkuu lakini hili ni jukwaa la mapenzi usitake tuwaze mbali. Ila maneno yote sio mageni kwangu anal nimewahi kuisikia kwenye biology na fissure kwenye physical geography kumbe combination yake ni ugonjwa 😄Wadau habar za jioni??
Kama mada ilivyo hapo juu kuna huo ugonjwa unaitwa Anal fissure siujui jina lake kwa kiswahili, yani unakua kama kunavinyama flan vinatokea kwenye anus vinatokana na mchaniko unaosababishwa na choo ngumu...
yaani hii kitu ya kushiriki mapenzi kinyume na maumbile kimekuwa tatizo kubwa duniani ili hali wanajua madhara yake,,,Eeeeh Mungu tunusuru na kizazi hiki cha nyoka.ugonjwa huu unaitwa bawasiri,
kwa wiki 2 hadi mwezi acha kula vyakula vigumu kama ugali na pia acha kula maharage...
anaingizwaKwa anaye fira au anayefirwa maana mwishoni sijakuelewa
Acha kuongea pumba mkuu, hivi hua mnayapata wapi haya mengine? au munajiropokea tu, Nyinyi ndio munaosababisha watu wanaficha maradhi wakihofia kufikiriwa vibaya na jamiiukiachana na kinyesi kigumu kinachoharibu mishipa na kuketa hili tatizo, pia sababu nyingine ni kushiriki kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
mkuu kitu kikubwa kigumu kikipita kwenye haja kubwa huwa kinaharibu mishipa ndio hapo sasa kunatokea vijipu.....iwe ni kinyesi kigumu, kujiingiza vitu haja kubwa ama mtu kuf*r**Acha kuongea pumba mkuu, hivi hua mnayapata wapi haya mengine? au munajiropokea tu, Nyinyi ndio munaosababisha watu wanaficha maradhi wakihofia kufikiriwa vibaya na jamii
Bila shaka ni memba wa tovuti pendwa🤪🤪Nimesoma hilo neno anal nimedinda
Pole
Bro ukipata hili tatizo ndo utajua maneno yako ni ya kisengeyaani hii kitu ya kushiriki mapenzi kinyume na maumbile kimekuwa tatizo kubwa duniani ili hali wanajua madhara yake,,,Eeeeh Mungu tunusuru na kizazi hiki cha nyoka.
Inauma sana na madada wengi wanaachwa baada ya hali kuwa mbaya.
Mm sio bro na maneno yangu sio ya ..kama ulivyosema Bali nimetoa wazo langu.Bro ukipata hili tatizo ndo utajua maneno yako ni ya kisenge