fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Kwamba sijaeleka mkuu? Au unaamua kunimangua tu untoe povu ๐Jamiiforum waweke section ya voicenote sasa ๐๐
Linaweza mkuu huwa wanakata hela baada ya kusponser ila tu ko ikitokea ile acc yako haina hela watakudai mwisho wa siku unakua bannedHAIWEZEKANI TANGAZO LIENDE BILA WEWE KULIPIA.... we lako lilienda kvp?
No kwenye kukuelekeza ๐๐๐sasaKwamba sijaeleka mkuu...? Au unaamua kunimangua tu untoe povu ๐
Jaribu hata kuandika tu please hvhvo tuelekezane maana sasa hakuna namna nielekeze tu kibishi hvhv mengne nutajiongeza hata kwenda youtube ila apo kwenye kuwalipa nalipaje na ilikuaje mpka nikablockiwa kupostNo kwenye kukuelekeza ๐๐๐sasa
Uliweka unawalipa kwa mode gani mastercard, au visa ? Ili uweze kuwalipa ukishatengeneza acc yako ya malipo ili wakate hela hakikisha hiyo acc inakua na pesaJaribu hata kuandika tu please hvhvo tuelekezane maana sasa hakuna namna nielekeze tu kibishi hvhv mengne nutajiongeza hata kwenda youtube ila apo kwenye kuwalipa nalipaje na ilikuaje mpka nikablockiwa kupost
Aaah apo sawa maana yke kabla sijapost tangazo nihakikishe hela ipo tyr kweny m pesa master card maana mm nilitengeneza m pesa master card mkuu .halafu ile namba niliyosajilia m pesa master card ya mwanzo ndo hii ambayo natumia sasa hv je haiwez kuzngua endapo nitataka kuitumia tena au nifungue mastercard kwa namba ingne..? TenaUliweka unawalipa kwa mode gani mastercard, au visa ? Ili uweze kuwalipa ukishatengeneza acc yako ya malipo ili wakate hela hakikisha hiyo acc inakua na pesa
Kwa ushauri tengeneza Mpesa mastercard ni nzuri na itakufaaa ukiweka hela zao huko wanakata direct
Badilisha ndugu kama una mpesa ingine weka kama huna basi sajili airtel visa cardAaah apo sawa maana yke kabla sijapost tangazo nihakikishe hela ipo tyr kweny m pesa master card maana mm nilitengeneza m pesa master card mkuu .halafu ile namba niliyosajilia m pesa master card ya mwanzo ndo hii ambayo natumia sasa hv je haiwez kuzngua endapo nitataka kuitumia tena au nifungue mastercard kwa namba ingne..? Tena
Sawa mkuu nashukuru sana ๐ aisee ntasajili namba nyngne kwa sasa...nkikwama ntakutafuta asanTe san๐ฅฐBadilisha ndugu kama una mpesa ingine weka kama huna basi sajili airtel visa card
KaribuSawa mkuu nashukuru sana ๐ aisee ntasajili namba nyngne kwa sasa...nkikwama ntakutafuta asanTe san๐ฅฐ
inawezekanaHAIWEZEKANI TANGAZO LIENDE BILA WEWE KULIPIA.... we lako lilienda kvp?