Kwa anayejua jinsi ya kushinda kamari za wachina

Hizi mashine wamezifanyia setting huwa zinatoa bonus ya kushinda mara chache ila mara nyingi zinakula sana hela wenye ujuzi zaid watakuja
 
Wachina hawajawah kuwa serious had nanii wanatengenezaaa
 
He he! nayamesambazwa hadi wenye vitambi wanacheza jamaa wamekuja kukusanya zao endapo yanalipishwa kodi lkn dah!
 
Hizo zimekuwa programmed maalum kwa ajili ya kutengeneza faida, haiwezi kukupa ushindi kabla haijamtengenezea faida boss, kwahiyo endelea kuchangia kwanza hivohivo, ukibahatisha muda ambao imeshakusanya za boss inakupa jackpot! Akili mukichwa
 
Kumbe ndo inavyokuwaga mtu anatengeneza faida yake mapema afu nyinyi ndo mje kula makombo
 
Ni mara mia ukabet, ingawaje siyajui na wala sina mpango wa kutaka kuyajua..!!
 
Jamani kwa anayejua namna ya kushinda Kamari za wachina BONANZA anipe maujuzi
Mkuu

Hilo dude halitengenezi Hasara Kwa mwenyenalo.. Limepigwa codes ambazo halileti Hasara... Yan kama useme Labda Kila zikitumbukia token za laki basi licheue ef 40...means Kila laki yenu lenyew linacheua 40 kwa mkupuo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…