Hilo dude halitengenezi Hasara Kwa mwenyenalo.. Limepigwa codes ambazo halileti Hasara... Yan kama useme Labda Kila zikitumbukia token za laki basi licheue ef 40...means Kila laki yenu lenyew linacheua 40 kwa mkupuo...
Program za nini mkuu? Kumbuka hilo halizalishi pesa humo ndani ni lazima mtumbukize nyie kwanza, na mkichelewa kula mchina anapita na x- trail yake pamoja na kindoo cha lita kumi anakusanya coins zake huyo anasepa
Program za nini mkuu? Kumbuka hilo halizalishi pesa humo ndani ni lazima mtumbukize nyie kwanza, na mkichelewa kula mchina anapita na x- trail yake pamoja na kindoo cha lita kumi anakusanya coins zake huyo anasepa
uzuri wa kubet unajua umeliwa au umekula kulingana na mechi na unajua mwenywe, ila hizi mashine siwezi zisogelea kamwe hujui nini kinaendesha humo ndani.