Negative 1
Senior Member
- Aug 26, 2013
- 133
- 4
Mimi ni teacher tena mzur tu, sijui nianzie wapi na niishie wapi ili nifanikiwe kuhama wilaya na mkoa nilipo kwa uhamisho wa kawaida. Na tamisemi inasemekana ndo ofisi husika. Nisaidieni mawazo hasa km sjapata mwl wa kubadilishana naye.