Kwa anayejua kuhusu Uhamisho

Kwa anayejua kuhusu Uhamisho

Negative 1

Senior Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
133
Reaction score
4
Mimi ni teacher tena mzur tu, sijui nianzie wapi na niishie wapi ili nifanikiwe kuhama wilaya na mkoa nilipo kwa uhamisho wa kawaida. Na tamisemi inasemekana ndo ofisi husika. Nisaidieni mawazo hasa km sjapata mwl wa kubadilishana naye.
 
Mimi ni teacher tena mzur tu, sijui nianzie wapi na niishie wapi ili nifanikiwe kuhama wilaya na mkoa nilipo kwa uhamisho wa kawaida. Na tamisemi inasemekana ndo ofisi husika. Nisaidieni mawazo hasa km sjapata mwl wa kubadilishana naye.

Jitahidi tu utapata.
 
Nipo morogoro nataka kuhamia songea

sasa vigezo vya kuhama ni hivi.
uwe na cheti cha ndoa kama umeoa au kuolewa, au uwe na sababu ya msing mf...ugonjwa(vyet) kuonesha kweli unaumwa, baada ya hapo andika barua kwa mkurugenz unaetaka kwenda k.k mkurugenz ulipo k.k afisa elim wako k.k mkuu wa shule wako.wakikupitishia hao hapo kwako kule hamna tatizo.
 
Mimi ni teacher tena mzur tu, sijui nianzie wapi na niishie wapi ili nifanikiwe kuhama wilaya na mkoa nilipo kwa uhamisho wa kawaida. Na tamisemi inasemekana ndo ofisi husika. Nisaidieni mawazo hasa km sjapata mwl wa kubadilishana naye.

nipo mbinga ni PM TUMALIZE MCHONGO
 
sasa vigezo vya kuhama ni hivi.
uwe na cheti cha ndoa kama umeoa au kuolewa, au uwe na sababu ya msing mf...ugonjwa(vyet) kuonesha kweli unaumwa, baada ya hapo andika barua kwa mkurugenz unaetaka kwenda k.k mkurugenz ulipo k.k afisa elim wako k.k mkuu wa shule wako.wakikupitishia hao hapo kwako kule hamna tatizo.

Sababu ya kuuguza mzazi wangu haifai?
 
Back
Top Bottom