Gonzaga Ngonyani
Senior Member
- Jan 22, 2013
- 157
- 92
Hili huwa haliishi kunishangaza!
Mfano,Upper second ni 3.5-4.3,sasa mtu akipata GPA 3.4998,nilitegemea itakuwa 3.5,lakini badala yake inakuwa 3.4[truncation]!
Kwanini Universities ziliamua kufanya hivi?
Hili huwa haliishi kunishangaza!
Mfano,Upper second ni 3.5-4.3,sasa mtu akipata GPA 3.4998,nilitegemea itakuwa 3.5,lakini badala yake inakuwa 3.4[truncation]!
Kwanini Universities ziliamua kufanya hivi?