Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'Kiingereza Kingi Sana'....! Hicho 'Kinge' ndo hujakielewa?Ndugu zangu kwa anaejua Taratibu zakuomba kazi kwnye hii kampuni ya GARD SECURITY WORLD mana nimengalia mtandaoni naona kingereza kingi sana afu nchi nyingi nimeshindwa kuelewa, Naomba msaada 0693206150
Doh nafkiri hujaelewa vzr inshu kubwa nikujua utaratubu wakufikisha maombi kwny office zao kwa anaejua anifahamishe ago mengne ya kingereza ni uchagishaji tu wa habari'Kiingereza Kingi Sana'....! Hicho 'Kinge' ndo hujakielewa?
Sasa Fanya hivi....Liweke hapa Hilo Tangazo lao Watu Wakutafsirie..!
Duniani kusaidiana Bwana..!
Tumia google translation,utaelewa tafsiri za kila kituNdugu zangu kwa anaejua Taratibu zakuomba kazi kwnye hii kampuni ya GARD SECURITY WORLD mana nimengalia mtandaoni naona kingereza kingi sana afu nchi nyingi nimeshindwa kuelewa, Naomba msaada 0693206150
hv wale nyuma ya kwa mwinyi ni kampuni ganiUnapajua ofisi yao ilipo kabla sijaendelea
kituo cha mwinyi -mikocheni karibu na palm village .wanapokea maombi siku ya alhamisi na ijumaa muda ni sambili asubuhi ndio muda wa kupokea maombi. Wakiona unafaa training ni wiki mbili then nikuzama mzigoni .Doh nafkiri hujaelewa vzr inshu kubwa nikujua utaratubu wakufikisha maombi kwny office zao kwa anaejua anifahamishe ago mengne ya kingereza ni uchagishaji tu wa habari
kituo cha mwinyi -mikocheni karibu na palm village .wanapokea maombi siku ya alhamisi na ijumaa muda ni sambili asubuhi ndio muda wa kupokea maombi. Wakiona unafaa training ni wiki mbili then nikuzama mzigoni nas
Owk naskia wanahitaji sana Cheti cha Darasa la Saba , sasa inshu Cheti cha Darasa la saba sina apo inakuaje kiongozikituo cha mwinyi -mikocheni karibu na palm village .wanapokea maombi siku ya alhamisi na ijumaa muda ni sambili asubuhi ndio muda wa kupokea maombi. Wakiona unafaa training ni wiki mbili then nikuzama mzigoni .
Owk Naskia wanahitaji sana Cheti cha Darasa la saba ,sasa apo ndio inshu kwangu mana sina Cheti cha Darasa la saba nafanyaje apo kiongozi...?Hii kampuni inaitwa GARDAWORLD na si GARD SECURITY WORLD kwa hapa tanzania makao makuu yapo Dar es salaam mikocheni wana office mbili kituo kwa mwinyi na kwa warioba maombi ni siku ya alhamisi na ijumaa upatikanaji wa kazi vigezo na mashart huzingatiwa ikiwemo urefu.
Karibu msakatonge mwenzangu kwenye ujenzi wa taifa
injinia soma hiyoooOwk naskia wanahitaji sana Cheti cha Darasa la Saba , sasa inshu Cheti cha Darasa la saba sina apo inakuaje kiongozi
over 200kWana lipa shingap au ndo wale wa 150k kwa mwezi
Zamani ikiitwa KK Security... KenyaKazi SecurityHii kampuni inaitwa GARDAWORLD na si GARD SECURITY WORLD kwa hapa tanzania makao makuu yapo Dar es salaam mikocheni wana office mbili kituo kwa mwinyi na kwa warioba maombi ni siku ya alhamisi na ijumaa upatikanaji wa kazi vigezo na mashart huzingatiwa ikiwemo urefu.
Karibu msakatonge mwenzangu kwenye ujenzi wa taifa
yaah kakaOK asante nimekupata , kwnyo apo naweza kumuweka Mke wangu km mdhamini nikatafuta na MTU mwingne alie ajiriwa
Vipi kuhusu gharama za may be sare na vitu kama hivyo? Ni juu yao au?kituo cha mwinyi -mikocheni karibu na palm village .wanapokea maombi siku ya alhamisi na ijumaa muda ni sambili asubuhi ndio muda wa kupokea maombi. Wakiona unafaa training ni wiki mbili then nikuzama mzigoni .