Kwa anayejua ukweli wa dokta msigwa anayetibu ukimwi

Kwa anayejua ukweli wa dokta msigwa anayetibu ukimwi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna rafiki yangu fulani amenithibitishia kuhusu ndugu yake aliyepona VVU baada ta kunywa dawa ipo kama chai alienda magomeni ama clinic yake kwa dokta anaitwa tr msigwa hata youtube video zake zipo anajinasibu anatibu ukimwi na magonjwa mengine.Binafsi mimi nina mashaka kwani tumefundishwa na wanasayansi kuwa virusi hivo havina matibabu..kwa kuwa jf ni jukwaa la watu wengi bila shaka watakuwepo wenye kujua habari za dokta huyo.
 
Kuna rafiki yangu fulani amenithibitishia kuhusu ndugu yake aliyepona VVU baada ta kunywa dawa ipo kama chai alienda magomeni ama clinic yake kwa dokta anaitwa tr msigwa hata youtube video zake zipo anajinasibu anatibu ukimwi na magonjwa mengine.Binafsi mimi nina mashaka kwani tumefundishwa na wanasayansi kuwa virusi hivo havina matibabu..kwa kuwa jf ni jukwaa la watu wengi bila shaka watakuwepo wenye kujua habari za dokta huyo.
FaizaFixy
 
Matapeli hao. Na wana tabia ya kuuza dawa bei kubwaaa.. wanajua lazima utanunua tu
 
Inawezekana mana mtishamba wenyewe pia Hauna UMBO maaLum kama alivyo mdudu mwenyewe
 
Matapeli hao. Na wana tabia ya kuuza dawa bei kubwaaa.. wanajua lazima utanunua tu
Na wanajua after a prolonged use of ARVs viral load ita drop to an un-detectable level..so ukinywa iyo dawa yao ukakimbilia kwenda kupima wakat huo umepiga ARV miaka 15 lazima uingie kwenye mtego wao..
 
Mi nachokushauri zingatia mazoezi kula kwa muda zingatia matunda kunywa dawa kwa wakati , vinginevyo utaenda kupewa chai ya rangi isiyo na sukari uambiwe ni dawa kama alivyofanya babu wa loliondo
 
Kuna rafiki yangu fulani amenithibitishia kuhusu ndugu yake aliyepona VVU baada ta kunywa dawa ipo kama chai alienda magomeni ama clinic yake kwa dokta anaitwa tr msigwa hata youtube video zake zipo anajinasibu anatibu ukimwi na magonjwa mengine.Binafsi mimi nina mashaka kwani tumefundishwa na wanasayansi kuwa virusi hivo havina matibabu..kwa kuwa jf ni jukwaa la watu wengi bila shaka watakuwepo wenye kujua habari za dokta huyo.
Hahaha
 
Back
Top Bottom