HahahaBro si useme tu kama ni weweee?
Na wanajua after a prolonged use of ARVs viral load ita drop to an un-detectable level..so ukinywa iyo dawa yao ukakimbilia kwenda kupima wakat huo umepiga ARV miaka 15 lazima uingie kwenye mtego wao..
HahahaMsigwa sio watu wa kuaminika.
Kumbuka yule wa Chadema.
Hii nchi ujinga utaisha lini sijuwi!
HahahaMi nachokushauri zingatia mazoezi kula kwa muda zingatia matunda kunywa dawa kwa wakati , vinginevyo utaenda kupewa chai ya rangi isiyo na sukari uambiwe ni dawa kama alivyofanya babu wa loliondo
Kwani Ukimwi hauna Dawa ?
Wajibu waathirika.
Hadi mama pole manUmeme Dawa yake lishe nzuri
Mimi nimefiwa na Mama mdogo zangu watatu Kwa umeme Ila nilichojifunza kuhusu umeme.
Kukosekana Kwa Lishe nzuri
Kukosekana Kwa lishe nzuri
Ndo kuliwaondoa mapema .
Walianza wakaa nyumbani na Afya zao zikawa Imara Ila waliporudi kijijini hakuna aliyepona wala kusalia .
Hadi mama pole man