Clouds Radio and TV.
dah kumbe JF kuna undr 18 no wonder pumba nying nowadays!
Jirikodi kwenye cd ukionesha ubunifu kisha isambaze hiyo cd ktk redio stasheni mbalimbali.ila itakuwa vizuri ukianza kujitolea kutangaza au kuigiza ktk events mbalimbali ngazi ya shule,mtaa hata tarafa.
Mkuu kwanini unataka kututaftia BAN zisizo na maana......comment kama yako kwa upande wangu imeshaanza kunishawishi kukutukania mama ako