Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka ukinukishe nawewe au sio😆Mi wa kiume ila naomba namba ya huyo ambae unaona kishanuka mkuu...
🙌🙌🙌🤝🤝🤝
Mzee mwenzangu na wewe ukimshindwa utanipatia namba ya huyo aliyekinukisha kwa ndugu yetuMi wa kiume ila naomba namba ya huyo ambae unaona kishanuka mkuu...
🙌🙌🙌🤝🤝🤝
Nataka na mimi nikinukishe ndio maana huku kila siku wanafuta nyuzi zangu za kutafuta mashangazi 😂😂😂Unataka ukinukishe nawewe au sio😆
Alfu mkuu sio mara ya kwanza nakwambia wewe itakua ngumu kaoshe kwanza 😂😂😂😂😂Mzee mwenzangu na wewe ukimshindwa utanipatia namba ya huyo aliyekinukisha kwa ndugu yetu
Sawa mzee wa double kibbin😆.Nataka na mimi nikinukishe ndio maana huku kila siku wanafuta nyuzi zangu za kutafuta mashangazi 😂😂😂
Ahahahahahah......Sawa mzee wa double kibbin😆.
Ganda la muwa la Jana chungu kaona kivuno wahenga walisema 😀Nataka na mimi nikinukishe ndio maana huku kila siku wanafuta nyuzi zangu za kutafuta mashangazi 😂😂😂
Yaani mi naelewa basi ndugu yangu....Ganda la muwa la Jana chungu kaona kivuno wahenga walisema 😀
shusha CV yako kwanza wadada siku hizi hatutaki wanaume lia lia maana na sisi siku hizi sio lia liaWakuu nipo serious kama unatafuta mume either uolewe au tuishi kama wapenzi ni pm huenda tukaendana umri wangu 30's huyu nilokuwa nae kishanuka sitaki kusema kwanini kimenuka karibu
NB, hii ni kwa wanawake kama wewe ni dume kama mimi fuatilia uzi kimya kimya
haha watakujaMkuu kama wewe ni muhusika nifate pm ntakupa cv yangu huko nipo serious na hili suala
Acha usumbufu wawekee vitu hapa wote waone Acha longolongo, umeanza hivyo unaonekana wewe tayari ni matatizo ndio maana huyo wa kwanza umefeliMkuu kama wewe ni muhusika nifate pm ntakupa cv yangu huko nipo serious na hili suala
Mkuu kichwa kitaoshwa tu si ndio maana namtafuta wa kukioshaAlfu mkuu sio mara ya kwanza nakwambia wewe itakua ngumu kaoshe kwanza 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂🙌🏾Mi wa kiume ila naomba namba ya huyo ambae unaona kishanuka mkuu...
🙌🙌🙌🤝🤝🤝
🙄🙄🙄🙄 mashangazi tenaNataka na mimi nikinukishe ndio maana huku kila siku wanafuta nyuzi zangu za kutafuta mashangazi 😂😂😂