Kwa anayetafuta mume/mpenzi

Kwa anayetafuta mume/mpenzi

Wakuu nipo serious kama unatafuta mume either uolewe au tuishi kama wapenzi ni pm huenda tukaendana umri wangu 30's huyu nilokuwa nae kishanuka sitaki kusema kwanini kimenuka karibu

NB, hii ni kwa wanawake kama wewe ni dume kama mimi fuatilia uzi kimya kimya
shusha CV yako kwanza wadada siku hizi hatutaki wanaume lia lia maana na sisi siku hizi sio lia lia
 
Mkuu kama wewe ni muhusika nifate pm ntakupa cv yangu huko nipo serious na hili suala
Acha usumbufu wawekee vitu hapa wote waone Acha longolongo, umeanza hivyo unaonekana wewe tayari ni matatizo ndio maana huyo wa kwanza umefeli
 
Back
Top Bottom