Unataka ukinukishe nawewe au sioπMi wa kiume ila naomba namba ya huyo ambae unaona kishanuka mkuu...
ππππ€π€π€
Mzee mwenzangu na wewe ukimshindwa utanipatia namba ya huyo aliyekinukisha kwa ndugu yetuMi wa kiume ila naomba namba ya huyo ambae unaona kishanuka mkuu...
ππππ€π€π€
Nataka na mimi nikinukishe ndio maana huku kila siku wanafuta nyuzi zangu za kutafuta mashangazi πππUnataka ukinukishe nawewe au sioπ
Alfu mkuu sio mara ya kwanza nakwambia wewe itakua ngumu kaoshe kwanza πππππMzee mwenzangu na wewe ukimshindwa utanipatia namba ya huyo aliyekinukisha kwa ndugu yetu
Sawa mzee wa double kibbinπ.Nataka na mimi nikinukishe ndio maana huku kila siku wanafuta nyuzi zangu za kutafuta mashangazi πππ
Ahahahahahah......Sawa mzee wa double kibbinπ.
Ganda la muwa la Jana chungu kaona kivuno wahenga walisema πNataka na mimi nikinukishe ndio maana huku kila siku wanafuta nyuzi zangu za kutafuta mashangazi πππ
Yaani mi naelewa basi ndugu yangu....Ganda la muwa la Jana chungu kaona kivuno wahenga walisema π
shusha CV yako kwanza wadada siku hizi hatutaki wanaume lia lia maana na sisi siku hizi sio lia liaWakuu nipo serious kama unatafuta mume either uolewe au tuishi kama wapenzi ni pm huenda tukaendana umri wangu 30's huyu nilokuwa nae kishanuka sitaki kusema kwanini kimenuka karibu
NB, hii ni kwa wanawake kama wewe ni dume kama mimi fuatilia uzi kimya kimya
haha watakujaMkuu kama wewe ni muhusika nifate pm ntakupa cv yangu huko nipo serious na hili suala
Acha usumbufu wawekee vitu hapa wote waone Acha longolongo, umeanza hivyo unaonekana wewe tayari ni matatizo ndio maana huyo wa kwanza umefeliMkuu kama wewe ni muhusika nifate pm ntakupa cv yangu huko nipo serious na hili suala
Mkuu kichwa kitaoshwa tu si ndio maana namtafuta wa kukioshaAlfu mkuu sio mara ya kwanza nakwambia wewe itakua ngumu kaoshe kwanza πππππ
πππππππΎMi wa kiume ila naomba namba ya huyo ambae unaona kishanuka mkuu...
ππππ€π€π€
ππππ mashangazi tenaNataka na mimi nikinukishe ndio maana huku kila siku wanafuta nyuzi zangu za kutafuta mashangazi πππ