Kwa anayetafuta mume/mpenzi

Acha usumbufu wawekee vitu hapa wote waone Acha longolongo, umeanza hivyo unaonekana wewe tayari ni matatizo ndio maana huyo wa kwanza umefeli
Hapana mkuu mwenye nia ya dhati cv ni kitu kidogo kwake wengine wanaekaga cv za uongo kikubwa ni utayari wa mtu
 
πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
Wapi wapi sasa njoo hapa 😁😁🚬
Mbona kama chama pinzani
 
Sawa una hela ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…