INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

Walio elewa na waelewe.
 
Ujuaji mwingi mbele giza
 
aAn

Mkuu,ila mimi nilimaanisha gamestore ya android,kuna games za android full version kuzipata ni ngumu kwa sababu ya bundles za Tz, ndio nauliza kama ni reasonable au aliyewahi fanyaa?
 
"Loves the bodyguard"
Unayo ni ya kichina ilikuwa inaoneshwa startimes
 
aAn



Mkuu,ila mimi nilimaanisha gamestore ya android,kuna games za android full version kuzipata ni ngumu kwa sababu ya bundles za Tz, ndio nauliza kama ni reasonable au aliyewahi fanyaa?
sijaona anaefanya hiyo unayotaka,ifanye uwe wa kwanza tujifunze kwako.
 
yeah,since 2016 nafanya hizi kazi ila ni kwa upande wa zilizotafsiriwa
Kwann unatafuta Ajira sasa hivi,hauna kazi? Tangu 2016 to date n miaka 6 inaenda,Hujawahi fikiria kujiajiri?

maana ujuzi unao,nini shida mtu una experience tangu 2016 leo hii kutafuta Ajira?
 
aAn



Mkuu,ila mimi nilimaanisha gamestore ya android,kuna games za android full version kuzipata ni ngumu kwa sababu ya bundles za Tz, ndio nauliza kama ni reasonable au aliyewahi fanyaa?
Hii sijawahi kutana nayo chief
 
Kuna watu wanakuja PM wanasema BEI kubwa wanatamani kuanza,acheni niwambie kitu kimoja kiwasaidie wote mnaotaka kuanza hii biashara.

Mnapotaka kuanza hii biashara kama hauna Mtaji wa kutosha kaa na mtu mwenye uzoefu na hii kazi mpeane mawili matatu na akushauri namna sahihi ya kuanza.

mimi nina movie 60TB na zaidi lakn yawezekana nikikupa wewe hizi movie zote kulingana na nature ya eneo lako Movie utakazouza sana ziwe ni TB 1 tu movie za SWAHILI SINGLE ZILIZOTAFSIRIWA zile movie zngine series za kizungu kihindi wateja wako wakawa hawazihitaji.

Ukajikuta unaingia loss kutumia pesa mingiii kununua movie ambazo hazitoki,kwahyo ndugu zangu unapotaka kuanza hii biashara usianzie juu Anzia chini,sishauri mtu aanze na movie zote kama nlivyo mimi (hii n kwa wenye mitaji midogo) ila kwa wenye mitaji mikubwa na wanaotaka kujipanua kuwa na movie store zaidi ya 1 Kuanza kama mimi n LAZIMA kutakusaida sana.

ila kwa wenye mitaji ya 1M kushuka chini tutafutane tushauriane nini chakuchukua nini usichukue,maana naweza kukujazia 4TB nkakuwekea Old Movies n series za miaka ya 1995 mpk 2000's movie ambazo zinajaza space tu ila kuuza utauza mara moja moja sanaaaaaa (hazina wateja)

yanini yote hayo wakati unaanza hata hujui wateja wako wanapenda movie zipi? Kwa mnaotaka kuanza Anzeni kwanza kisha Mambo mengine ytafata. PM yangu ipo wazi msiogope.
 
3TB desktop ikiwa na package ya Movie za kwenda kuanza biashara kabisa Naiuza kwa 300k. Ukiichukua n kuchomeka kwenye mashine yako basi 5k to 10k per day n simple hiii n movie tu haina kitu kingine.
 
Nafundisha Wanafunzi wanaotaka kujua hii kazi, mpaka waelewe na kukabidhiwa ofisi wafanye kazi.

Mzazi kama una mwanao hujui kitu cha kumfungulia hii ni biashara nzuri ya kumfungulia kama unao mtaji,mlete nikufundishie aweze pambana na maisha hata kama ukiondoka leo Mtoto wako uwe umemuandalia mazigira ya kuishi bila kutamani cha mtu.

Kwa vijana mnaotamani hii na hamjui computer nafundisha pia Computer Basic kutumia mpk kuijua na baada ya hapo tutaanza fundishana Kazi na namna ya kuifanya hii kazi.

ADA si pesa mingi sana kwa anaejua computer Ada ni 100,000 (kwa mwezi), Kwa mwanafuzi asiejua computer kabisa kabisa hajui chochote kuhusu Computer ADA ni 150,000 (kwa mwezi).

Karibuni Computer za Kufundishiana zipo na zipo katka mazingira mazuri ya kufundishiana, Library ina 10 complete computer zilizo tayari kupokea watumiaji.

Karibuni wote Movies Store
 
Weka picha ya ofisi tuthaminishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…