Movies Store
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 288
- 938
- Thread starter
-
- #241
Uwe na Amani umeweka eneo sahihi Boss,Hapa mtu aweke chochote kinachohusiana na movie sina tatizo Mkuu, Ukipata Nyingine Pia zilete kwa bei reasonable mkuu,usiumize wana sanaaa.Master Movies Store samahani kukuingilia uzi wako mtaalam, mimi niko na 2TB harddisk ya desktop naiuza 100k tu. Kama hautajali mkuu naomba tangazo langu likae hapa, also nitakua willing kuifuta hii kama haitakufaa mkuu.
Haipungi labda unataka nighairi niuze 150kPunguza tufanye biashara mkuu
Upo wapiMaster Movies Store samahani kukuingilia uzi wako mtaalam, mimi niko na 2TB harddisk ya desktop naiuza 100k tu. Kama hautajali mkuu naomba tangazo langu likae hapa, also nitakua willing kuifuta hii kama haitakufaa mkuu.
Karibu sana, ufanye uwanja wako wa nyumbani mkuuNgoja niweke kambi kwa muda hapa...
Watanzania unapowapa fursa wengi hukuona kama motivational SpeakerBwana Movies Store nilishawahi wasimulia hii kitu
wakaniona kama napiga mluzi porini nasaka kware
Biashara ya kuingiza movie na miziki kwenye flash na simu
Biashara hazijawahi kuisha chini ya jua ni vile tu unavyoamua kuchukulia mambo na kujichukulia wewe upo vipi,leo nataka nimsaidie mtu mmoja mahali flani kuichambua hii biashara ili kama alikua akiwaza nini chakufanya na hapati apate pakuanzia,na kwa wanaoifanya basi waboreshe ili mwisho wa siku...www.jamiiforums.com
Watanzania unapowapa fursa wengi hukuona kama motivational Speaker
Biashara isiyo na faida ni ile watu hawaifanyiVipi hawa wanaoweka nyimbo na CD huku mtaani na wenyewe wanapata faida?
SOLD OUTMwenye anahitaji 3TB desktop HDD ipo nauza 140,000
Karibu Karibu Mkuu,siku ukipata hela ukiona huoni chakufanyia kuna biashara isiyo na expire date ambayo ni hii unaweza jiongeza ukajikuta umeongeza kibunda.
Huwa Napenda Movies zenye Asili ya Kigaidi na ambazo zinarelate na Sniper pia; Nikirudi bongo December ntakuchek boss, home ni huko hukoNi series gani au Movie gani unaipenda sana kwa sasa? Hebu niambieni watazamaji Movie nahitaji kujua vitu mnavyopenda ili kama sina nivitafute.
Karibu Mkuu,ukitoka huko majuu uteletee na vitendea kazi huku tunanyooshwa sana na bei za wabongo wachache wenye konekshen.Huwa Napenda Movies zenye Asili ya Kigaidi na ambazo zinarelate na Sniper pia; Nikirudi bongo December ntakuchek boss, home ni huko huko
Kwa staili hii vijana hawakupigi kweli au umeweka camera?huwezi jua kirahisi na wanaojua ni sisi wenye movie store,Mimi nawajua wamiliki wa ofisi za movie store sio wafanyakazi zao.
na Ni wale wa Movie Store kubwa kubwa Tu ndio tunaojuana,Huwezi mkuta mmiliki wa Movie Store ofisini (ni nadra sana) ndio mana huwezi kujua nani mwenye nayo.
Na chat hapa JF ila huwezi nikuta hata siku 1 ofisni ni nadra sana kunikuta nimekaa ofisini,Mteja nitaempata ONLINE namuelekeza tu ofisini anaenda kukutana na vijana.
Niko Mwenge mkuu, DaslamUpo wapi
Wako maeneo gn mwanza?Nimewahi watembelea Mwanza, jamaa wamejipanga sana