INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

Master Movies Store samahani kukuingilia uzi wako mtaalam, mimi niko na 2TB harddisk ya desktop naiuza 100k tu. Kama hautajali mkuu naomba tangazo langu likae hapa, also nitakua willing kuifuta hii kama haitakufaa mkuu.
Uwe na Amani umeweka eneo sahihi Boss,Hapa mtu aweke chochote kinachohusiana na movie sina tatizo Mkuu, Ukipata Nyingine Pia zilete kwa bei reasonable mkuu,usiumize wana sanaaa.
 
Bwana Movies Store nilishawahi wasimulia hii kitu

wakaniona kama napiga mluzi porini nasaka kware

 
Bwana Movies Store nilishawahi wasimulia hii kitu

wakaniona kama napiga mluzi porini nasaka kware

Watanzania unapowapa fursa wengi hukuona kama motivational Speaker
 
Huwa Napenda Movies zenye Asili ya Kigaidi na ambazo zinarelate na Sniper pia; Nikirudi bongo December ntakuchek boss, home ni huko huko
Karibu Mkuu,ukitoka huko majuu uteletee na vitendea kazi huku tunanyooshwa sana na bei za wabongo wachache wenye konekshen.
 
huwezi jua kirahisi na wanaojua ni sisi wenye movie store,Mimi nawajua wamiliki wa ofisi za movie store sio wafanyakazi zao.

na Ni wale wa Movie Store kubwa kubwa Tu ndio tunaojuana,Huwezi mkuta mmiliki wa Movie Store ofisini (ni nadra sana) ndio mana huwezi kujua nani mwenye nayo.

Na chat hapa JF ila huwezi nikuta hata siku 1 ofisni ni nadra sana kunikuta nimekaa ofisini,Mteja nitaempata ONLINE namuelekeza tu ofisini anaenda kukutana na vijana.
Kwa staili hii vijana hawakupigi kweli au umeweka camera?
 
Back
Top Bottom