hata mimi nataka nihame toka benjamin william mkapa high school kuhamia minaki,ila kiukweli wazazi wangu hawapo tayari kwa hili suala ndugu yangu,ntashukuru kweli kama ukinisaidia maana naona pale kwenda na kurudi ni ishu usafiri unanicost.endapo n kweli utakua na nia ya kunisaidia utanifahamisha kwa kuniInbox ili niweze kujipanga na hata KUBANGAIZA vijisenti kwa wadau tofauti ili niweze ku a fford maana nahisi kuna chochote kitu kinachohitajika.I WILL NEED THE HELP NA NTASHUKURU SANA if UTANISAIDIA ndugu yangu.THX