Kwa anayetaka kuoa nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

Aaaah hawa watanzania adabu hawana. Unampa heshima ya kumleta kwenye familia yako anakuja kukudhalilisha na huo upumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cha umuhimu hapo ni kuangalia dashboard kama inasomeka au laaaah,km ametembea km nyingi hafai pia
 
Pamoja na elimu yako bado una shida hata ya kuandika Kiswahili !!, kumriwadha = liwaza
 
Irrelevant

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ingependeza zaidi ukasema changamoto anazozipa mwanaume kwa kuoa mwanamke mwenye mtoto hii imenikuta kabisa kuna mwanamke nilikutana nae chuo mwaka wa mwisho akawa ananizungusha baada ya hapo kakubali sound yangu ila baada ya kuendelea kuchunguza nimekuta tayari anamtoto na hajawihi kuniambia
Naomba useme changamoto za kuoa mwanamke mwenye mtoto nimpige chini mapema sana kwanza tangia nijue anamtoto naona nilipotwza muda tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…