snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
MxxxxxxxxxiiiieeeeeTatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MxxxxxxxxxiiiieeeeeTatizo heshima niliyoijenga katika jamii, naheshimika mno, sipo tayari kuikabili aibu hii
Af mshaaaaaambaaaa tuuu.Kinacho kusumbua ww ni ego yako.
Swallow your pride accept it. Isitoshe ni mke wako, mambo ya kuonekana primitive ni ya kizamani, kwani kuna chochote wanakusaidia?
Ww una hofu kumtia mimba mke? Wenzako wana tia mimba michepuko na mke ni mzazi na bado hawa panic
Hebu ficheni ujinga wenu jamaniKaitoe kunusuru afya ya huyo mtoto (mtu kamili) wa miezi 9, hiyo mimba haina thamani kuliko huyo mtu.
Nendeni Hospital.I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Mimba ni binadamu ambaye yupo tumboni kwa mama yake.
Anaweza kuwa binadamu hai au binadamu mfu,binadamu hai ni yule ambaye anacheza tumboni na mfu ni yule ambaye hachezi tumboni.
Hakuna roho nusu,roho kama roho ni kamili.
Haya maamuzi yako ndio ukatili kwa sababu uko tayari binaadamu anayeendelea kutengenezwa asije duniani kwa sababu tu binadamu aliyekuwepo atakosa kunyonya maziwa kwa muda wa mwaka mmoja.
Wakati huo huo binadamu huyu unayemhofia ameshafikisha miezi sita kwa maana anweweza akupewa chakula kingine na maziwa hivyo hatokuwa mtegemezi sana wa maziwa kiasi kwamba ukatae asitengenezwe kiumbe mwingine kwa sababu huyu aliyekuepo atakosa maziwa.
Huu ni ukatili kwa kiumbe ambacho kinategemea kuja duniani.
Mtoto wa mtoa mada ameshafikia miezi 9 kwa maana ni zaidi ya 6months hivyo anaweza kupewa supplementary foods sio kwamba atategemea maziwa tu pekee.
Hii maana yake unataka kusitisha kuja binadamu duniani kwa sababu binadamu wa duniani atakosa maziwa ambayo hayategemei kwa 100%.
Lakini pia mtoto huyu unayemhofia haina maana kwamba akikosa maziwa atakufa ataendelea kuishi ila kuna nutrients ambazo ndo atazikosa kidogo kutoka katika maziwa ya mama.
Sasa kutoa mimba kwa kuhofia madhara kwa mtu mwingine madhara ambayo hayaleti mauaji huo utakuwa sio uungwana kaka mokaze.
Ndio maana hata maulamaa wameruhusu kutoa mimba hata ikiwa imepuliziwa roho endapo tunahofia huyu mama atapoteza uhai wake.
Mfano mama ana ectopic pregnancy ambayo kimsingi haiwezi ikafikia miezi hata saba lazima itarupture tu,katika hali kama hii maana yake tunahofia kifo kwa mama endapo mimba ikikua.
KUTOA MIMBA KISHERIA YA DINI NA DUNIA HASA KWETU TANZANIA IWE KWAMBA HIYO MIMBA KUBAKI KWAKE KUTALETA MADHARA YA KUUA MTU MWINNGINE AU MATATIZO MAKUBWA SANA KIAFYA KWA WALIO HAI.
Mtoto wa mtoa mada asiponyonya maziwa ya mama na akaendelea kupata vyakula vingine huku mimba ikiwa inaendelea ATAKUFA ? ATAPATA MADHARA GANI MAKUBWA ?
Mkuu ni kweli maziwa ya mama yatabaki kuwa maziwa ya mama,lakini sio lazima kabisa kwa mtoto kwamba anyonye maziwa tu lazima apate vyakula vingine.
Kwa sababu katika vyakula vingine kuna nutrients ambazo pia ni muhimu katika kila nyanja ya mwili.
Kama vile mayai ya kuku,kwale,samaki,supu ya kuku,viazi mbatata,maziwa ya foruma,ndizi mbivu,maji n.k
Haya yote mtoto akiyatumia pia anakua vizuri sana kiakili sio kwamba maziwa pekee ndio yanaleta akili wakati Mungu kaumba mbadala wa vyakula vingi sana.
Hivyo hakuna sababu kuubwa ya kuharibu kiumbe kinachotengenezwa kwa kuhhofia hoja ya maziwa kaka mokaze.
Mimba ni binadamu ambaye yupo tumboni kwa mama yake.
Anaweza kuwa binadamu hai au binadamu mfu,binadamu hai ni yule ambaye anacheza tumboni na mfu ni yule ambaye hachezi tumboni.
Hakuna roho nusu,roho kama roho ni kamili.
Kaitoe kunusuru afya ya huyo mtoto (mtu kamili) wa miezi 9, hiyo mimba haina thamani kuliko huyo mtu.
I'm too weary, yaani tuna mtoto wa miezi karibia 9 sasa, ila mke wangu jana kapima ujauzito baada ya kuhisi uchovu, kwa masikitiko makubwa ni mjamzito. Nitaficha wapi sura yangu Mimi? Naheshimika mno inakuwaje wakijua mke wangu mjamzito tena?
Yaani nionekane primitive Mimi? Nafikiria nimuambie tutoe ila navuta muda, mke wangu ndio chanzo cha yote, ananipa show huku mzunguko kausahau, na mimi siku reason!
Nafikiria nimuambie akaitoe, naombeni mawazo yenu Wanajamvi!! Ndo nadhalilika hivyo
Usikute hata hakuna mbingu. Mbinguni usikute ni hapa hapa duniani. Afanye linalofaa kwake.Toeni mkuu sio lazima kila mtu aende mbinguni
AMEN 🤲Utapata mpendwa, ipo siku Mungu atakukumbuka
Tangu day 1 Mimba ni uhai na ni rohoKuua nini??, kuua mimba au kuua mtu??, kuua mimba kwa kunusuru uhai wa mtu kwa sababu za msingi sio dhambi kwani mtu anayo thamani kubwa kuliko mimba.
Hapo anachonusuru ni nini,?Kuua nini??, kuua mimba au kuua mtu??, kuua mimba kwa kunusuru uhai wa mtu kwa sababu za msingi sio dhambi kwani mtu anayo thamani kubwa kuliko mimba.