Kwa bajeti ya 1.5M naweza kupata simu na laptop za ubora gani?

Kwa bajeti ya 1.5M naweza kupata simu na laptop za ubora gani?

J23

Senior Member
Joined
Nov 11, 2016
Posts
151
Reaction score
193
Habari za JP wana JF.

Naomba kupewa muongozo wa simu na Laptop aina gani naweza pata Kwa budget ya 1.5 M Kwa vyote viwili.

Ahsante na karibu Kwa ushauri.
 
Habari za JP wana JF.

Naomba kupewa muongozo wa simu na Laptop aina gani naweza pata Kwa budget ya 1.5 M Kwa vyote viwili.

Ahsante na karibu Kwa ushauri.
Kwa upande wa laptop chukua Msi Yenye Nvidia GTX 1060-2010 au hp Omen Yenye GTX model Hizo utaenjoy Kwa gaming, graphic , Art
 
Kwa upande wa laptop chukua Msi Yenye Nvidia GTX 1060-2010 au hp Omen Yenye GTX model Hizo utaenjoy Kwa gaming, graphic , Art
Mkuu labda ujamuelewa mleta mada, amesema budget 1.5m Tsh sio sio 1500USD
Ili apate ya hiyo specs brand sio chini ya dollar 1000 around.
Mleta uzi anatakiwa aseme ni kwa matumizi gani ili wadau wamshauri, aseme anataka new au used.
Akitaka used naweza kumuuzia MSI yangu
 
Mkuu labda ujamuelewa mleta mada, amesema budget 1.5m Tsh sio sio 1500USD
Ili apate ya hiyo specs brand sio chini ya dollar 1000 around.
Mleta uzi anatakiwa aseme ni kwa matumizi gani ili wadau wamshauri, aseme anataka new au used.
Akitaka used naweza kumuuzia MSI yangu
MSI yako unauza shilingi ngapi mkuu, nicheki PM ili kama vipi tufanye biashara
 
Upande wa simu sina specific model in mind ila fanya yote asije kushawishi mtu ukanunua simu ya mtumba kwa jina la Used from Dubai au kokote.
Hata iwe iPhone 15 pro max kwa 500K.
Ahsante mkuu, ila Kuna hizi Google pixel Huwa ni mtumba au brand mana naona watu wanazisifia sana.
 
Mkuu labda ujamuelewa mleta mada, amesema budget 1.5m Tsh sio sio 1500USD
Ili apate ya hiyo specs brand sio chini ya dollar 1000 around.
Mleta uzi anatakiwa aseme ni kwa matumizi gani ili wadau wamshauri, aseme anataka new au used.
Akitaka used naweza kumuuzia MSI yangu
Me nataka PC ambavyo Iko faster kwenye Kila kitu na yenye SSD walau 512.
 
Jaribu redmi note 13 pro
Naimiliki kwenye camera NI zaidi ya noma
Mm natumia Redmi note 12, nimeuza, sasa nipe abc za hiyo Redmi note 13 pro tapata features gani advanced ukilinganisha na hii yangu ya Redmi note 12
 
Ahsante mkuu, ila Kuna hizi Google pixel Huwa ni mtumba au brand mana naona watu wanazisifia sana.
Tena hizo hizo kwa kuhisi naona wewe utakuwa pesa umepewa, samahani kama nimekosea, kununua simu ya mtumba ni betting kupata nzuri au kukosa kabisa, simu ya mtumba ni miezi kadhaa tu utaanza kuwaza kubadili mara battery, mara display inaleta shida.

Kama huwazi kupoteza jilipue na hizo pixel, ila nashauri weka 1.1M kwenye PC, then laki nne nenda maduka ya tigo tafuta simu za Xiaomi utaenjoy maisha.
 
Habari za JP wana JF.

Naomba kupewa muongozo wa simu na Laptop aina gani naweza pata Kwa budget ya 1.5 M Kwa vyote viwili.

Ahsante na karibu Kwa ushauri.
Nenda Instagram watafutie ubepar PC na zahoro matelefone.
 
Tena hizo hizo kwa kuhisi naona wewe utakuwa pesa umepewa, samahani kama nimekosea, kununua simu ya mtumba ni betting kupata nzuri au kukosa kabisa, simu ya mtumba ni miezi kadhaa tu utaanza kuwaza kubadili mara battery, mara display inaleta shida.

Kama huwazi kupoteza jilipue na hizo pixel, ila nashauri weka 1.1M kwenye PC, then laki nne nenda maduka ya tigo tafuta simu za Xiaomi utaenjoy maisha.
Sawa mkuu ahsante Kwa ushauri wako.
 
Back
Top Bottom