mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 248
- 539
Nunua redmi note 5 used yenye hali nzuri kisha piga mautundu ukae na features zote za android 11. Maisha yaendeHabari zenu,
Naitaji smartphone ila bahati mbaya budget yangu ni ndogo.
Naomba ushauri wataalam kwa budget yangu ya laki 2 nitafute simu gani dukani.
Mimi brand kwangu sio ishu nayozingatia kikubwa ubora.
Habari zenu,
Naitaji smartphone ila bahati mbaya budget yangu ni ndogo.
Naomba ushauri wataalam kwa budget yangu ya laki 2 nitafute simu gani dukani.
Mimi brand kwangu sio ishu nayozingatia kikubwa ubora.
Hutapata simu ya viwango sana sana utapata Tecno, Itel n the like tena zile za memory ndogoHabari zenu,
Naitaji smartphone ila bahati mbaya budget yangu ni ndogo.
Naomba ushauri wataalam kwa budget yangu ya laki 2 nitafute simu gani dukani.
Mimi brand kwangu sio ishu nayozingatia kikubwa ubora.
Nahitaji mpya mkuu, used zinakuwaga na majanga.Nunua redmi note 5 used yenye hali nzuri kisha piga mautundu ukae na features zote za android 11. Maisha yaende
infinix toleo gani zuri nitapata kwa hiyo bei?usithubutu kununua simu used zama hizi
nenda kanunue tecno or infinix yoyote kwa bei hiyo hutajutia
Mimi sina tatizo na brand, budget yangu ni ndogo na siwezi ongeza so choice lazima iwe limited.Hutapata simu ya viwango sana sana utapata Tecno, Itel n the like tena zile za memory ndogo
Ok sawaMimi sina tatizo na brand, budget yangu ni ndogo na siwezi ongeza so choice lazima iwe limited.
Tafuta redmi 7a ukiibahatisha itakufaa ni around hio bei ila simu ina nguvu sana kwa mtumiaji wa kawaidaNunua redmi note 5 used yenye hali nzuri kisha piga mautundu ukae na features zote za android 11. Maisha yaende
Sawa mkuu. Infinix sijawai tumia ila nasikia zinaongelewa sana. Toleo gani zuri kwa laki2?Nunua za wanyonge Tecno/ infinix Dukani not second hand
Sawa mkuu.Tafuta redmi 7a ukiibahatisha itakufaa ni around hio bei ila simu ina nguvu sana kwa mtumiaji wa kawaida
Samsung Galaxy A02Habari zenu,
Naitaji smartphone ila bahati mbaya budget yangu ni ndogo.
Naomba ushauri wataalam kwa budget yangu ya laki 2 nitafute simu gani dukani.
Mimi brand kwangu sio ishu nayozingatia kikubwa ubora.
Mkono ndio ulipofikia.Mkuu jitahidi ongezea 1 then kanunue Samsung Galaxy A21s mpyaaa,hutajuta ni nzuri sn
Asante mkuuSamsung Galaxy A02
Kupatana Buy & Sell on Tanzania's #1 classifieds
Sell and buy used goods nearby - Kupatana is the best place to sell or buy new or used items in various categories like multimedia, cars, ready-to-wear, furniture… near youwww.zoomtanzania.com
Chukua bei kikomo ambayo ni 197... Bado usafiri hapo , halafu wakishaweka minimum order hawawezi kuuza mojaHaka ka simu ,ukimset seller mtaeewana ukikapata utainjoi sana kadogo ila amaizing mno mno. Hapo MOQ YAKE SI UMEONA YAJENGE TU ILA WAPO NA WENYE MOQ YA 1 ITEMView attachment 1794780
Mkuu nimejaribu kusearch naona hizi simu ni kama hazipo bongo. Vipi unafahamu napoweza zipata?Haka ka simu ,ukimset seller mtaeewana ukikapata utainjoi sana kadogo ila amaizing mno mno. Hapo MOQ YAKE SI UMEONA YAJENGE TU ILA WAPO NA WENYE MOQ YA 1 ITEMView attachment 1794780