kwa Bakhresa ndo nini wakati wa malavidavi?

Plato

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
420
Reaction score
94
ndugu,naishi nyumba za kupanga uswahilini.sasa nje ya dirisha langu hukaa wakina mama nikiwa nimepumzika ndani.wanaongea hao nami nawasikia.lakini sina mazoea nao.sasa juzi nilisikia mmoja anamwambia mwenziye umuhimu wa kula kwa bakhresa wakati wa tendo.sikuelewa hicho nini.ukiacha mizaha ya baadhi yetu,kuna maarifa muhimu nayapata humu jamvini.nisaidieni
 
mmmh,mimi nilisikia bakhresa ni nanihii,isije ikawa wanakusudia nanihii?nafikiri utakuwa umeelewa.haina haja ya kuchambua
 
mmmh,mimi nilisikia bakhresa ni nanihii,isije ikawa wanakusudia nanihii?nafikiri utakuwa umeelewa.haina haja ya kuchambua
itakuwa ndo hiyohiyo naniii!
 
itakuwa ndo hiyohiyo naniii!
Mkuu hiyohiyo nini, tueleweshane... isijetokea siku moja nimechukua demu wa uswazi ananiambia anataka kula bakresa mimi nashangaa!!!
 
bhakhresa ni mwarabu.......na waarabu wanasifika kwa kupenda nini.....kuna mawili sasas hapo either wanamaanisha kule kunakotoa hajakubwa au wanamaanisha kuenda kuramba koni kile kiungo cha uzazi cha mwanaume....maana BHAKhRESA huyo huyo nae anatengeneza koni icecream ramba ramba ball koni zina chocolate kuila lazima baadae uilambe.....
 

duuu, dunia ina mambo
 
Mkuu hiyohiyo nini, tueleweshane... isijetokea siku moja nimechukua demu wa uswazi ananiambia anataka kula bakresa mimi nashangaa!!!
mkuuu si ujue anataka kula koni! sorry kulamba!
 
Duh! Ni kweli huwezi kuliziba jua na ungo!

 
jamani acheni kuumiza vichwa kupotosha lugha kwa bakresa ni kula koni, icecream, lamba lamba thats all akuna la nyongeza wakuu
 
Hata mie ndo naisikia leo ndo nini mbona hamjatoa majibu
 
Kula koni haaaa tena ile yenye chocolate juu nimawazo yangu sijui.
 
jamani acheni kuumiza vichwa kupotosha lugha kwa bakresa ni kula koni, icecream, lamba lamba thats all akuna la nyongeza wakuu
muulizacswali ameuliza,umuhimu wa kula kwa bakhresa wakati wa tendo,ndio maana unahisi nanihii.ingekuwa amesema kwenda kwa bakharesa kula koni,ingeeleweka vyengine.kila kukicha nanihii inakuwa na majina mengi
 
Hilo mbona lipo wazi sana! Backresa anatengeneza con hizo wanazoita lambalamba sasa mbona ugumu wa kuchanganua siuoni hapo? We demu wako akikuomba backresa ungempa nini kama sio con alambe?
 
Sijui nitahama lini uswazi, kunanifurahisha sana, mademu hawaombi hela kubwa bali husema, "naomba sh`ngi mia", kila mtu anafungua mziki kwa sauti ya juu yaani ni vurugu na furaha tupu, mwingine taarabu, mwingine bongo fleva, Rose Mhando, Ali Choki, Wazee wa Masauti nk.


Nyumba za ku-share kupika ni kwenye korido, mwingine anapika nyama, mwingine matembele, mwingine hana cha kupika katumbua macho tu nk.

Kero ni harusi za Kizaramo, wanakodi muziki mkubwa wanapiga siku mbili kabla ya harusi, wanakatika viuno usiku kucha, yaani hapo ndio kero kubwa.
 



kiongozi hapo tu ndo umegusa ikulu!!!!!!!lol....
 
Jamni Bakhresa si anakiwanda cha Koni labda kula koni ya kikubwa lol :coffee::coffee:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…