Kwa Benchikha, Simba imeonyesha jeuri ya pesa sasa tunasubiri tuione pia kwa wachezaji wapya

Kwa Benchikha, Simba imeonyesha jeuri ya pesa sasa tunasubiri tuione pia kwa wachezaji wapya

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Ujio wa Kocha Benchikha katika Simba kipindi hiki unadhihirisha kuwa Simba ina jeuri ya pesa ya kumleta kocha au mchezaji yoyote inayemtaka kutoka ardhi hii ya Africa. Kama tumeweza kumleta kocha mwenye profile kubwa hivi aliyetoka kushinda mataji mawili kati ya matatu makubwa Africa kwa level ya vilabu, tunashindwa nini kupata wachezaji wazuri? Pamoja na mpira usioridhidha ulioonyeshwa na Simba hasa kipindi cha pili katika mechi dhidi ya ASEC Mimosas weekend iliyopita, lakini mchezaji wa ASEC alipohojiwa angependa kuchezea timu ipi ya Tanzania bado aliitaja Simba.

Wengi tumekuwa tunalilia wachezaji wazuri wenye viwango ila matumaini yetu mengi yamekuwa hayafikiwi. Ni wakati umefika mdudu anayekwamisha wachezaji wazuri wasije pale Simba au wakija wanashindwa kuperform aondolewe. Inawezekana huyo mdudu siyo mtu ila mfumo unaotumika wa kutafuta wachezaji na kuwasajili, inawezekana ni mfumo wa uendeshaji timu, inawezekana ni mazingira ya kambi, inawezekana ni vifaa duni vya mazoezi, inawezekana ni mfumo usio mzuri wa afya na matibabu, inawezekana ni uhaba wa staff wa kutosha kwenye benchi la ufundi na ufuatiliaji wa karibu wa hali za wachezaji na shida zao.

Wakati umefika tufanye maamuzi magumu. Thank you za dirisha dogo na dirisha kubwa lijalo inabidi zitufurahishe ila tunachotaka zaidi maingizo mapya yatufurahishe zaidi kwa watakachotuletea uwanjani. Sidhani kama Simba inahitaji wachezaji wa gharama kubwa kihiiivyo, labda mmoja au wawili ila wachezaji wa gharama za kawaida wenye viwango na damu inayochemka mbona wapo tu Afrika yote nzima hii? Huko Senegal na Ghana kuna madogo kibao tu wanapiga mpira hatari. Jeuri ya pesa tuihamishie sasa huko mpaka wasemeee.

Ushauri wa mwisho, ni vizuri tuanze kuzingatia suala la lugha na huu ushauri niliwahi kuutoa zamani. Leo hii tuna kocha mwarabu asiyeongea kiingereza kizuri, tuna wachezaji wa Kitanzania wasiojua kiingereza vizuri wala kiarabu, tuna wanaozungumza kifaransa wasiojua kiswahili, kiingereza vizuri wala kiarabu. Tujaribu kupunguza hii changamoto kwa kuangalia lugha za asili za wachezaji na makocha. Bila hivyo tuhakikishe tuna mkalimani kama Cedric Kaze katika benchi la ufundi.
 
Ujio wa Kocha Benchikha katika Simba kipindi hiki unadhihirisha kuwa Simba ina jeuri ya pesa ya kumleta kocha au mchezaji yoyote inayemtaka kutoka ardhi hii ya Africa. Kama tumeweza kumleta kocha mwenye profile kubwa hivi aliyetoka kushinda mataji mawili kati ya matatu makubwa Africa kwa level ya vilabu, tunashindwa nini kupata wachezaji ye viwango na damu inayochemka mbona wapo tu Afrika yote nzima hii? Jeuri ya pesa tuihamishie sasa huko mpaka wasemeee.
Kujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.

Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.

Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.

Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.
 
Ujio wa Kocha Benchikha katika Simba kipindi hiki unadhihirisha kuwa Simba ina jeuri ya pesa ya kumleta kocha au mchezaji yoyote inayemtaka kutoka ardhi hii ya Africa. Kama tumeweza kumleta kocha mwenye profile kubwa hivi wasemeee.
Naamini maumivu tuliyopitia yamekuwa chachu ya kufanya mambo kikubwa,sajili zijazo hazitakuwa za kipuuzi tena unasajili lundo la wachezaji mizigo. Itumike hela kubwa kusajili wachezaji wenye profile kubwa hata wanne tu basi.
 
Ujio wa Kocha Benchikha katika Simba kipindi hiki unadhihirisha kuwa Simba ina jeuri ya pesa ya kumleta kocha au mchezaji yoyote inayemtaka kutoka ardhi hii ya Africa. Kama tumeweza kumleta kocha mwenye profile kubwa hivi ? Huko Senegal na Ghana kuna madogo kibao tu wanapiga mpira hatari. Jeuri ya pesa tuihamishie sasa huko mpaka wasemeee.
Kwa akili yako ndogo tatizo la Simba unajua ni kocha?? Kama amjatambua tatizo la Simba lilipo ata mumlete guadiola mtamfukuza tu, na Kama amjasolve tatizo Lenu na uyu atofika pasaka nakwambia!
 
Kujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.

Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.

Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.

Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.
Hakika shida pale ni 10%
 
Kujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.

Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.

Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.

Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.
Huwa wanaanzaga hivi hivi baadae mada zinabadilika
 
Acha ukiazi kocha wa yanga wa msimu jana hana timu je ni kocha mdogo?
Pep alipokuwa hana timu alikuwa kocha mdogo?
Zidane sasa hv hana timu je ni kocha mdogo?
Kuna sehemu nimesema kuwa ni kocha mdogo?
Pep yupi huyo? Huyu aliyekuwa anagombaniwa na timu mbalimbali baada ya kuachana na timu yake ya awali? Pep alikuwa anagombewa
Zidane yuko wapi na huo uzuri unaosemea? Niambie timu anayoifundisha kwasasa na mafanikio yake.
Kocha wa Yanga ana mafanikio yapi?
 
Ujio wa Kocha Benchikha katika Simba kipindi hiki unadhihirisha kuwa Simba ina jeuri ya pesa ya kumleta kocha au mchezaji yoyote inayemtaka kutoka ardhi hii ya Africa. Kama tumeweza kumleta kocha mwenye profile kubwa hivi aliyetoka kushinda mataji mawili kati ya matatu makubwa Africa kwa level ya vilabu, tunashindwa nini kupata wachezaji wazuri? Pamoja na mpira usioridhidha ulioonyeshwa na Simba hasa kipindi cha pili katika mechi dhidi ya ASEC Mimosas weekend iliyopita, lakini mchezaji wa ASEC alipohojiwa angependa kuchezea timu ipi ya Tanzania bado aliitaja Simba.

Wengi tumekuwa tunalilia wachezaji wazuri wenye viwango ila matumaini yetu mengi yamekuwa hayafikiwi. Ni wakati umefika mdudu anayekwamisha wachezaji wazuri wasije pale Simba au wakija wanashindwa kuperform aondolewe. Inawezekana huyo mdudu siyo mtu ila mfumo unaotumika wa kutafuta wachezaji na kuwasajili, inawezekana ni mfumo wa uendeshaji timu, inawezekana ni mazingira ya kambi, inawezekana ni vifaa duni vya mazoezi, inawezekana ni mfumo usio mzuri wa afya na matibabu, inawezekana ni uhaba wa staff wa kutosha kwenye benchi la ufundi na ufuatiliaji wa karibu wa hali za wachezaji na shida zao.

Wakati umefika tufanye maamuzi magumu. Thank you za dirisha dogo na dirisha kubwa lijalo inabidi zitufurahishe ila tunachotaka zaidi maingizo mapya yatufurahishe zaidi kwa watakachotuletea uwanjani. Sidhani kama Simba inahitaji wachezaji wa gharama kubwa kihiiivyo, labda mmoja au wawili ila wachezaji wa gharama za kawaida wenye viwango na damu inayochemka mbona wapo tu Afrika yote nzima hii? Huko Senegal na Ghana kuna madogo kibao tu wanapiga mpira hatari. Jeuri ya pesa tuihamishie sasa huko mpaka wasemeee.
Huyo kocha usma alger walimtunzia heshima wakamuambia atangaze kajiuzulu wakati wamemtimua kutokana na matokeo mabovu ya kwenye ligi
 
Upo zako Mpapwa huko, umeshajua hadi mawasiliano ya USMA na Benchika.
20231124_204126.jpg

Alijiuzulu 9 okt lakini kwa matokeo haya upati kigugumizi ulilimndia heshima yake,hizo ndio match zake za mwisho usm alger
 
Ujio wa Kocha Benchikha katika Simba kipindi hiki unadhihirisha kuwa Simba ina jeuri ya pesa ya kumleta kocha au mchezaji yoyote inayemtaka kutoka ardhi hii ya Africa. Kama tumeweza kumleta kocha mwenye profile kubwa hivi aliyetoka kushinda mataji mawili kati ya matatu makubwa Africa kwa level ya vilabu, tunashindwa nini kupata wachezaji wazuri? Pamoja na mpira usioridhidha ulioonyeshwa na Simba hasa kipindi cha pili katika mechi dhidi ya ASEC Mimosas weekend iliyopita, lakini mchezaji wa ASEC alipohojiwa angependa kuchezea timu ipi ya Tanzania bado aliitaja Simba.

Wengi tumekuwa tunalilia wachezaji wazuri wenye viwango ila matumaini yetu mengi yamekuwa hayafikiwi. Ni wakati umefika mdudu anayekwamisha wachezaji wazuri wasije pale Simba au wakija wanashindwa kuperform aondolewe. Inawezekana huyo mdudu siyo mtu ila mfumo unaotumika wa kutafuta wachezaji na kuwasajili, inawezekana ni mfumo wa uendeshaji timu, inawezekana ni mazingira ya kambi, inawezekana ni vifaa duni vya mazoezi, inawezekana ni mfumo usio mzuri wa afya na matibabu, inawezekana ni uhaba wa staff wa kutosha kwenye benchi la ufundi na ufuatiliaji wa karibu wa hali za wachezaji na shida zao.

Wakati umefika tufanye maamuzi magumu. Thank you za dirisha dogo na dirisha kubwa lijalo inabidi zitufurahishe ila tunachotaka zaidi maingizo mapya yatufurahishe zaidi kwa watakachotuletea uwanjani. Sidhani kama Simba inahitaji wachezaji wa gharama kubwa kihiiivyo, labda mmoja au wawili ila wachezaji wa gharama za kawaida wenye viwango na damu inayochemka mbona wapo tu Afrika yote nzima hii? Huko Senegal na Ghana kuna madogo kibao tu wanapiga mpira hatari. Jeuri ya pesa tuihamishie sasa huko mpaka wasemeee.

Ushauri wa mwisho, ni vizuri tuanze kuzingatia suala la lugha na huu ushauri niliwahi kuutoa zamani. Leo hii tuna kocha mwarabu asiyeongea kiingereza kizuri, tuna wachezaji wa Kitanzania wasiojua kiingereza vizuri wala kiarabu, tuna wanaozungumza kifaransa wasiojua kiswahili, kiingereza vizuri wala kiarabu. Tujaribu kupunguza hii changamoto kwa kuangalia lugha za asili za wachezaji na makocha. Bila hivyo tuhakikishe tuna mkalimani kama Cedric Kaze katika benchi la ufundi.
Anacheza nafasi gani huyo mliye msajiri?
Ana umri wa miaka mingapi ukilinganisha na wachezaji wenzake hapo Msimbazi?
 
Kujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.

Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.

Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.

Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.
Huu ushauri umetumia akili kubwa sana,mwenye akili atafanyia kazi
 
Back
Top Bottom