Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Muda ni mwalimu watu wataanza kutaka wachezaji wao waanzishwe wakati hawako form.
Mashabiki wa Simba wengi akili kisoda.
Alipotua tu kamuukilizia boco 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda ni mwalimu watu wataanza kutaka wachezaji wao waanzishwe wakati hawako form.
Mashabiki wa Simba wengi akili kisoda.
Duh, kule USMA kocha alivunja mkataba? Au mkataba uliisha haukuongezwa au USMA waliamua kuachana nae kwa makubaliano ya pande zote mbili?
Alijiuzulu lini?View attachment 2827890
Alijiuzulu 9 okt lakini kwa matokeo haya upati kigugumizi ulilimndia heshima yake,hizo ndio match zake za mwisho usm alger
Hahahahaha,ngoja kwanza kocha aanze kukutana na wachezji uwanja wa mazoezi kisha aje na maoni yake na kikosi chakeMuda ni mwalimu watu wataanza kutaka wachezaji wao waanzishwe wakati hawako form.
Mashabiki wa Simba wengi akili kisoda.
Watanzatia kwa umbeya!hivyo ndivyo Waalgeria walikwambia?Huyo kocha usma alger walimtunzia heshima wakamuambia atangaze kajiuzulu wakati wamemtimua kutokana na matokeo mabovu ya kwenye ligi
Roberthino tayari ameshasema Simba kuna wachezaji Wawili tu.Hahahahaha,ngoja kwanza kocha aanze kukutana na wachezji uwanja wa mazoezi kisha aje na maoni yake na kikosi chake
Hahahahahahaha,ule ulikua upigaji tu ,scout anayejua kazi yake hawezi kuscout mtu kama abdalah khamis, hussein kazi, onana ,ayoubRoberthino tayari ameshasema Simba kuna wachezaji Wawili tu.
Labda ungeuliza yule scout mzungu kazi yake ni ipi?
Wengi wenu huwa mnasoma au kusikiliza ili mkimbilie kujibu siyo muelewe kwanza mnachosoma au kusikia.Kujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.
Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.
Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.
Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.
Duh, kule USMA kocha alivunja mkataba? Au mkataba uliisha haukuongezwa au USMA waliamua kuachana nae kwa makubaliano ya pande zote mbili?
Toa hoja yako acha kuuliza maswali ya kiduwanzi. Mtoto wa kiume unaumauma maneno ili iweje?Anacheza nafasi gani huyo mliye msajiri?
Ana umri wa miaka mingapi ukilinganisha na wachezaji wenzake hapo Msimbazi?
Alijiuzulu lini?
Na hayo matokeo ni ya lini?
Supercup kachukua lini?
Nioneshe source kuwa walikubaliana ajiuzulu
Mimi ni mwanume,nitake radhi!Toa hoja yako acha kuuliza maswali ya kiduwanzi. Mtoto wa kiume unaumauma maneno ili iweje?
Ushauri mzuriKujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.
Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.
Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.
Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.
Kumbe alikuwa na matokeo mabayaView attachment 2827890
Alijiuzulu 9 okt lakini kwa matokeo haya upati kigugumizi ulilimndia heshima yake,hizo ndio match zake za mwisho usm alger
Waachecmikia sasa hv wamsifie then wakifanya vibaya povu zote kwa mangunguKumbe alikuwa na matokeo mabaya
Ili Simba iende vizuri uswahili uondolewe.Kujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.
Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.
Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.
Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.
Kujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.
Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.
Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.
Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.
kwani hersi hapigi Ten PercentKujifunza siyo dhambi, muoneni Eng Hersi atawasaidia kuondokana na hali iliyopo.
Hata mlete kocha gani kusajili kwa ten percent mtafukuza makocha wote.
Mkitaka kufanikiwa dhibiti watu wa ten Percent au Dewji asajili mwenyewe kwa kumshirikisha kocha.
Yanga huo ujinga ulishadhibitiwa, GSM pesa anampa Eng Hersi tu ndiye anayemaliza shughuri, akipiga pesa Eng Hersi GSM hana tatizo ni Shemeji yake, lakini mkiendelea kukumbatia mafisi huyu kocha hafiki Pasaka.