Bushmaster
JF-Expert Member
- Jan 18, 2022
- 583
- 1,265
Salaam,
Sio kawaida yangu kusikiliza briefing za kitaifa kwa siku za hivi karibuni, ila kwa jana kulikua hakuna haja hata ya wale mawaziri wengine kuwepo pale ulitosha kabisa, na huyu ndio Mwigulu tunaemtaka sio yule wa kutuhamisha Burundi.
Ile briefing sio tu ilitoka kwa Waziri wa Fedha kwangu naiita ni presidential briefing, kueleza mambo makubwa in and out tena kwa uwazi. Hisia (uchungu) na kwa lugha nyepesi na rahisi na ya kueleweka kwa kila rika ni uwezo wa hali ya juu sana ameonesha.
Kwa uwezo ule hakika Mwigulu yatosha kusema wewe ni engine ya Mama kwa sasa, hiyo nafasi imekutosha na ikatosheka na sasa hivi unachofanya ni kucover nafasi ya watu wengine. Hapa nieleweke vizuri, hiyo position ameishikilia vzuri na sasa anaziba nafasi ya uwaziri fulani ambayo inaonekana imepwaya.
Mimi kwa maoni yangu yaliyo huru utoke hapo nenda pale juu.
Bravo.
Sio kawaida yangu kusikiliza briefing za kitaifa kwa siku za hivi karibuni, ila kwa jana kulikua hakuna haja hata ya wale mawaziri wengine kuwepo pale ulitosha kabisa, na huyu ndio Mwigulu tunaemtaka sio yule wa kutuhamisha Burundi.
Ile briefing sio tu ilitoka kwa Waziri wa Fedha kwangu naiita ni presidential briefing, kueleza mambo makubwa in and out tena kwa uwazi. Hisia (uchungu) na kwa lugha nyepesi na rahisi na ya kueleweka kwa kila rika ni uwezo wa hali ya juu sana ameonesha.
Kwa uwezo ule hakika Mwigulu yatosha kusema wewe ni engine ya Mama kwa sasa, hiyo nafasi imekutosha na ikatosheka na sasa hivi unachofanya ni kucover nafasi ya watu wengine. Hapa nieleweke vizuri, hiyo position ameishikilia vzuri na sasa anaziba nafasi ya uwaziri fulani ambayo inaonekana imepwaya.
Mimi kwa maoni yangu yaliyo huru utoke hapo nenda pale juu.
Bravo.